Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,652
- 13,077
dah! Ndio ninazidi kuamini ya kuwa SIASA NI MCHEZO MCHAFU
umeona eeh? waambie bwana waache kumix dini na siasaHapa 2po 2najadili mustakabali wa nchi ye2 hatupo kidini **** ww fisadi mkuu kuna mkoa gani wenye maendeleo unayosema ww hadi unatukana madrasa CDM wasipowafukuza wa2 wa aina yako basi wa2 wataamini kuwa kuna udini hapa 2najadilina nani ana uchungu na nchi hii na nani hana au EL, PINDA,CHILIGATI,
MREMA, CHEYO,SHIBUDA,MRAMBA,BALALI,DANIEL YONA,CHENGE,NIMRODI MKONO,NGELEJA,MEMBE pia wanaelimu ya madrasa acha ufala ww hapa 2nazungumzia taifa na co dini omba radhi kwa kauli yako FISADI MKUU
Ndugu zangu watanzania na hasa vijana,
Kuna tabia ya kinafiki iliyojengeka ndani ya ccm ya kujifanya kuunga kauli tata za viongozi wao ili kuwapumbaza watanzania. Tabia hii tusiipuuze kwani ina madhara makubwa kwa jamii. Watanzania wengi bado hawajaamka na kutambua mbinu hizi chafu za ccm. Watanzania hao wanaweza kuamini kuwa Chadema ni chama cha vurugu kumbe ndicho chama kilichoamsha vuguvugu la ukombozi nchini.
Naomba sana tena sana viongozi wa chadema waandae maandamano makubwa Jijini Dar es Salaam yafanyike Jumamosi tarehe 19 Machi 2011 ili kujibu upuuzi na unafiki unaotaka kufanywa na watoto wa mafisadi tarehe 16 Machi 2011. Vijana tuhamasishane kwa nguvu zote ili mahudhurio yawe makubwa yawafunike mafisadi.
Sijui mnaonaje vijana wenzangu? Viongozi wa chadema tafadhali mtilie maanani ushauri huu. Nimechukia sana kusikia eti vijana wa ccm wanataka kuandamana kuunga kauli ya ajabu kabisa ya mwenyekiti wao.
MAANDAMANO ya kuunga mkono hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa mwishoni mwa mwezi uliopita, yanatarajiwa kufanyika Dar es Salaam Machi 16, mwaka huu, yakiwa na ujumbe amani yetu bado tunaipenda. Akizungumza na waandishi wa Habari mjini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Vijana wa Tanzania, wapenda amani, Said Mwaipopo alisema, pia maandamano hayo yatahusisha kupinga kauli viongozi wa CHADEMA zinazochochea kutokea kwa vurugu nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti huyo, inaeleza kuwa, vitendo na kauli za viongozi vya chama hicho vina lengo la kupandikiza chuki kwa Watanzania dhidi ya serikali iliyopo madarakani, ambavyo mavuno yake ni umwagikaji wa damu.
Alisema, maandamano yanayofanywa na CHADEMA huvishwa sura ya kupanda kwa gharama za maisha, wakati huohuo yakiwa na lengo la kuipinga na kutaka kuingoa serikali.
Maandamano hayo yatafanyika kuanzia viwanja vya Mnazi Mmoja mpaka uwanja wa Bakhresa Manzese, na Mwenyekiti wa TLP Augustino Mrema anatarajiwa kuyaongoza.
source: www.uhurupublications.com
MAANDAMANO ya kuunga mkono hotuba ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa mwishoni mwa mwezi uliopita, yanatarajiwa kufanyika Dar es Salaam Machi 16, mwaka huu, yakiwa na ujumbe amani yetu bado tunaipenda. Akizungumza na waandishi wa Habari mjini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Kamati ya Vijana wa Tanzania, wapenda amani, Said Mwaipopo alisema, pia maandamano hayo yatahusisha kupinga kauli viongozi wa CHADEMA zinazochochea kutokea kwa vurugu nchini.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti huyo, inaeleza kuwa, vitendo na kauli za viongozi vya chama hicho vina lengo la kupandikiza chuki kwa Watanzania dhidi ya serikali iliyopo madarakani, ambavyo mavuno yake ni umwagikaji wa damu.
Alisema, maandamano yanayofanywa na CHADEMA huvishwa sura ya kupanda kwa gharama za maisha, wakati huohuo yakiwa na lengo la kuipinga na kutaka kuingoa serikali.
Maandamano hayo yatafanyika kuanzia viwanja vya Mnazi Mmoja mpaka uwanja wa Bakhresa Manzese, na Mwenyekiti wa TLP Augustino Mrema anatarajiwa kuyaongoza.
source: www.uhurupublications.com
mkuu uliyowataja woote hapo mbona hamna kitu, hao woote ni madrasa tuu.au hujasoma kile kitabu cha mafisadi wa elimu hao wafoji vyeti tuu!hapa 2po 2najadili mustakabali wa nchi ye2 hatupo kidini **** ww fisadi mkuu kuna mkoa gani wenye maendeleo unayosema ww hadi unatukana madrasa cdm wasipowafukuza wa2 wa aina yako basi wa2 wataamini kuwa kuna udini hapa 2najadilina nani ana uchungu na nchi hii na nani hana au el, pinda,chiligati,
mrema, cheyo,shibuda,mramba,balali,daniel yona,chenge,nimrodi mkono,ngeleja,membe pia wanaelimu ya madrasa acha ufala ww hapa 2nazungumzia taifa na co dini omba radhi kwa kauli yako fisadi mkuu
ccm wanaandamana kuunga mkono hotuba ambayo haina mvuto,JK ktk hotuba zake anadesa hadi nukta hana uwezo wa kuongeza mambo yaliyo ya msingi ,akishaandikiwa na Janury Makamba anaisoma kavukavu ndo maana hotuba zake hazivutii kusikiliza.Waandamane kwa unafiki wao na polisi wawlinde jamaa zao ila nasi tutawasha moto kama LIBYA ,TUNISIA nk wasifikiri sie mazezeta kama zamani.Kijana yoyte anayeunga mkono ccm ana maslahi binafsi kama mama yake si nyumba ndogo ya waziri ujue anachukuliwa dada yake na mbunge wa ccm
Naunga mkono hoja. Tafadhali viongozi wa chadema msibeze ushauri huu.
]mtoa mada na wachangiaji wote zero,[/SIZE]mnaifanya jf kama gazeti la udaku,kazi ni kusifia ya watu tu nyie mumefanya kitu gani cha maana? Wewe unataka ccm wasiandamane unamanisha katiba inamuruhusu cdm tu kuandamana? Au hujui kuandamana ni haki ya kiraia.yaani we unataka nchi ya kulipiza visasi? Kweli watanzania watu wa vijiweni kazi ni mdomo hamna tunachokifanya, eti chadema watu makini hasira za nini sasa?