Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Utawaona ifikapo tarehe 16 Machi 2011. Bado kuna vijana wenye akili mgando wanaofaidika na ukwasi wa mafisadi.
wale siyo vijana; ni mashosti
Utawaona ifikapo tarehe 16 Machi 2011. Bado kuna vijana wenye akili mgando wanaofaidika na ukwasi wa mafisadi.
CCM haina vijana.
Kwa hiyo wenye Haki ya Kuandamana katika Nchi hii ni CDM peke Yao? KWENDENIZENUNI!!
SIUNGI MKONO CDM kuandaa maandamano ya kuwajibu CCM!!
Kufanya hivo itakuwa ni kupalilia siasa za maji taka!!!
Ninachowashauri chadema ni kusikiriza ujumbe wa hao jamaa kisha watoe tamko kuwajibu kupitia vyombo vya habari. Tena mtoa tamko awe Mwenyekiti wa tawi mojawapo la wakereketwa wa kijiji kimojawapo TZ au Zanzibar ili kuonyesha kuwa maandamani yao si lolote si chochote kwa uongozi wa juu wa Chama!
Kwa hiyo wenye Haki ya Kuandamana katika Nchi hii ni CDM peke Yao? KWENDENIZENUNI!!
Kwa hiyo wenye Haki ya Kuandamana katika Nchi hii ni CDM peke Yao? KWENDENIZENUNI!!
wale siyo vijana; ni mashosti
Hiyo ni comment wakati CCM wanataka kuandamana.............mtoa mada na wachangiaji wote zero,mnaifanya jf kama gazeti la udaku,kazi ni kusifia ya watu tu nyie mumefanya kitu gani cha maana? Wewe unataka ccm wasiandamane unamanisha katiba inamuruhusu cdm tu kuandamana? Au hujui kuandamana ni haki ya kiraia.yaani we unataka nchi ya kulipiza visasi? Kweli watanzania watu wa vijiweni kazi ni mdomo hamna tunachokifanya, eti chadema watu makini hasira za nini sasa?
kumekuwa na ongezeko la watu wanaona suport maandamano inchini. Binafisi sijui kama maandanamo wanayofikiri yakoje. Cjui wanamanisha maandamano kama ya libya? Nijuovyo maandamano ni mapinduzi ya uongozi.je ni sawa kuwa na mapiduzi ya namna hiyo sasa? Je hayo maandamano hayawezi kutuludisha nyuma? Hayawezi kutuletea vita vya wenyewe kwa wenyewe?