Johnsecond
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 1,076
- 211
Kweli inchi hii haitaendelea hata siku moja. Hao watu ni wakuwaangalia sana kwa macho mengi maana ndugu zao wanakufa kwa gharama za maisha zinavyoongezeka wao wanaandamana kupinga nini? Mungu awajalie waanadamane vizuri na malengo yao ya kujipatia pesa toka kwa mafisadi yatimie ile ya kubadiri umma unaopata shida yasitimie.