babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 13,107
- 16,001
duh!kama nawaona vile baada ya kufika germany jinsi watakavyozamia mitaani na kujilipua kisomali
kuna mbongo anataka kukaa bongo sikuhizi!
kuna mbongo anataka kukaa bongo sikuhizi!
lazima atatoka uchagani ama kaskazini kwa ujumla
lazima atatoka uchagani ama kaskazini kwa ujumla
lazima atatoka uchagani ama kaskazini kwa ujumla
haya wenye sifa kazi kwenu
nimependa hii kuiweka wazi! Kwenye kamati ya mchujo wa applicants naomba Ben Saanane awe mwenyekiti wa kamati hiyo.
lazima atatoka uchagani ama kaskazini kwa ujumla
acha majungu wewe
watu wangapi wanahitajika?
Naomba kuuliza vijana wanakwenda Ujerumani kuchukuwa mafunzo ya nini?
kujiimarisha kuhusu mambo ya kaskazini