Mantombazane
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 572
- 356
Hata mimi sijamwelewa alichoandika. Eti picha zimeunganishwa na wapinzani??!! Kwa hiyo wale watu waliokuwa wamebeba mabango sio watu halisi??!!Ndo maana hii nchi hatuendelei. Sasa ndo nn hiki wameandika. Na hao ndo ma think tank wa jumuia