Vijana acheni kuiga

mkadiriajimajenzi

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
549
608
Tamthilia , movies na mziki wa kimagharibi zimekua zikichangia kwa kiasi kikubwa kuleta ujinga na kupunguza uwezo wa kufikiri kwa vijana walio wengi.
Uvaaji wa mavazi ya uchi hasa kwa wanawake,wanaume kuvaa hereni,kuchora tatoo mwilini,kutokuheshimu wazee ni baadhi tu ya madhara yanayoletwa na vitu hivi.

Wito wangu;
Si kila kitu mkionacho kwenye tamthilia au internet kinapaswa kuigwa,leo nikiwa ndani ya pantoni nimekumbana na binti huyu akiwa amevaa miniskirt inayoonesha mapaja yake yote nje mbele ya watoto, wanaume nikajiuliza haoni aibu? But finally nikarialize kwamba ni ujinga wa kuiga vitu bila kujiuliza mara mbilimbili
 

Attachments

  • ImageUploadedByJamiiForums1460544961.888564.jpg
    ImageUploadedByJamiiForums1460544961.888564.jpg
    108.7 KB · Views: 160
Tuwache kuwadadisi watu tufanye yetu. Sasa huyo dada kama anatangaza biashara jee? Hivi wewe huna uliloiga kutoka nchi za magharibi (ulaya) ?
 
Tamthilia , movies na mziki wa kimagharibi zimekua zikichangia kwa kiasi kikubwa kuleta ujinga na kupunguza uwezo wa kufikiri kwa vijana walio wengi.
Uvaaji wa mavazi ya uchi hasa kwa wanawake,wanaume kuvaa hereni,kuchora tatoo mwilini,kutokuheshimu wazee ni baadhi tu ya madhara yanayoletwa na vitu hivi.

Wito wangu;
Si kila kitu mkionacho kwenye tamthilia au internet kinapaswa kuigwa,leo nikiwa ndani ya pantoni nimekumbana na binti huyu akiwa amevaa miniskirt inayoonesha mapaja yake yote nje mbele ya watoto, wanaume nikajiuliza haoni aibu? But finally nikarialize kwamba ni ujinga wa kuiga vitu bila kujiuliza mara mbilimbiliView attachment 337123
Jali maisha yako mkuu....halafu kuwaanika humu mtandaoni unaona ni sawa?
 
Mtoto black beauty hivi, naona mkuu ulitegeka hapo hahahahaha....
 
Fuata yako mkuu huo ni umbea tu halafu unapost picha za watu bila idhini yao pia bila kuficha sura
 
Uzi ulivyoandikwa utafikiri huyo binti kakaa uchi yan... Mbona mi sijaona cha ajabu hapo? Mi nafikiri we ndo umewaaibisha hao mabinti hapo
 
Huyu mleta uZi atakua wa mkoani so anaona ajabu kwa kivazi hicho tembea uone mkuu
Back to topic
Swala la fashen siyo siri linatuumiZa vijana
Waathirika wa kubwa ni kina dada katika swala la swaga cZ hupenda kuonekana anakwenda na wakati ambapo husababisha kuvaa nusu uchi
Mbaya Zaidi wanaume hushobokea sana wale wadada wanaovaa nusu uchi
Huku a decent girl anaonekana mshamba
Hivi ni kwanini wanaume mnafanya hivyo?
 
Tamthilia , movies na mziki wa kimagharibi zimekua zikichangia kwa kiasi kikubwa kuleta ujinga na kupunguza uwezo wa kufikiri kwa vijana walio wengi.
Uvaaji wa mavazi ya uchi hasa kwa wanawake,wanaume kuvaa hereni,kuchora tatoo mwilini,kutokuheshimu wazee ni baadhi tu ya madhara yanayoletwa na vitu hivi.

Wito wangu;
Si kila kitu mkionacho kwenye tamthilia au internet kinapaswa kuigwa,leo nikiwa ndani ya pantoni nimekumbana na binti huyu akiwa amevaa miniskirt inayoonesha mapaja yake yote nje mbele ya watoto, wanaume nikajiuliza haoni aibu? But finally nikarialize kwamba ni ujinga wa kuiga vitu bila kujiuliza mara mbilimbiliView attachment 337123


huy dem mweusi cjui hiyo maku yak itakuwaje km mkaa hata pakuingiza hupaon had upapase xn o umulike hil ndo hole
 
Sawa tushajua ulipanda pantoni ila ukome kuwaanika watoto wa watu humu
 
si ajabu hiyo nguo akisimama inavuka magoti kabisa,
pengine ulimuomba namba ya simu kukunyima ndo umeona umwage mboga...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom