Vigogo wenye uraia wa nchi mbili ni hawa wafuatao

Kwa walio na uraia pacha baada ya kufanya uchunguzi wangu nimeambiwa katika nchi nyingi hawakuambiwa waukane uraia wao wa kuzaliwa. Naambiwa walitangaza uraia wao wa kuzaliwa kwanza kwa kueleza nchi gani wanatoka na kisha kula kiapo cha uraia wa nchi ya kuasiliwa. Baada ya kula kiapo cha uraia wa kuasiliwa hawakunyang'anywa passport zao za nchi ya kuzaliwa licha ya kupewa form ya kuombea passport ya nchi ya kuasiliwa.

Kwa utaratibu huu hawajaukana uraia wa nchi zao za kuzaliwa, ila wametaja uraia wa nchi zao za kuzaliwa na kupokeleka katika nchi ya uraia wa kuasiliwa, vinginevyo passport zao wangenyang'anywa kama wanaponyang'anywa permanent resident card zao wanapoasiliwa uraia wao.
Mkuu,
Tatizo haliko kwa wamarekani, wao wanaruhusu multiple citizenship na ndiyo maana hauruhusiwi kuukana.

Tatizo liko kwa bongo kama bado hawana sheria inayoruhusu uraia wa nchi mbili, hii issue mbona tushaijadili humu?
 
Wana Jf
katika kufatilia baadhi ya mambo nimepata kufahamu yafuatayo
(1)Mh sugu Ana uraia wa Tz na USA
(2)Mh Membe Ana urai wa Tz na Canada
(3)Mh Letecia Nyerere Ana uraia wa Tz na USA
(4)Mh Nyalandu Ana uarai wa Tz na USA

wana Jf Uchunguzi unaendelea Kama mnataatifa zaidi mnaweza kutoa Kama mnawafahamu wengine ongezea list

So what? hata hivyo hakuna binadamu mwenye raia mbili. Ungesema ni raia wa Tanzania mwenye passport ya UK. Mbona mna complicate mambo. Lile karatasi tu nalo mnalivalia junga. "Wivu wa kike"
 
Kama sio mafisadi/wezi, mi sina shida nao hata kama wangukuwa na uraia wa nchi mia!....................
 
W.J. Malecela nakusalimu kwa jina la Bwana!

Nashukuru umesaidia maana ninyi mpo viwanja hivyo!
Na wewe acha ujinga bana, kwani kujuwa kitu ni lazima uwepo Nchi husika? unaweza kuwa raia wa Marekani na ukawa raia wa Tanzania, ila sheria ya sasa ya Tanzania hairusu hiyo kitu, one of my friend amechukuwa uraia wa UK na anatumia passport zote mbili kwa kubadili badili kutegemea ni nini mahitaji yako.
Narudia tena uraia sio fasheni, bali ni malengo ya mtu ukiona mtu anachukuwa uraia wa chi fulani ujuwe ana malengo yake kama kuondokana na usumbufu wa kuomba viza kwa nchi ile ile na nchi mbali mbalimbali atakazokwenda.
 
Hapana tatizo lao kubwa ni hili, hawajui kwamba kuna kitu kinaitwa to pursue opportunities Globally wamekaa kuimba kama kasuku bila hata kusema huo uraia wao unawasaidia nini? kwa nini hawashangai pale uhamiaji kuna maombi ya wazungu wanaomba uraia wa Tanzania?
Huwa sichangii thread za kizembe kama hizi.

Matola pole sana na ww ushakuwa mzembe sababu umesha changia.
 
unaweza kuwa raia wa Marekani na ukawa raia wa Tanzania, ila sheria ya sasa ya Tanzania hairusu hiyo kitu
Matola please mkuu...Ukishasema "Unaweza kuwa raia wa marekani na ukawa raia wa Tanzania" Hilo la "sheria kutokuruhusu", haliendani na kauli ya awali...

Unaweza ukanitafsiria hiyo kauli hapo juu na ika make sense?

Unakubali na kukataa at the same time..."Unaweza kuwa raia wa "Marekani na Tanzania", ila huwezi kuwa raia wa "Tanzania na Marekani"

Jibu ungeliacha tu kuwa simple; huwezi kuwa raia wa marekani na ukawa raia wa Tanzania, period.
 
Rugwe na wengine ukweli ni kwamba USA na canada wanaruhusu uwe na uraia wa nchi nyingine lakini wakati ukipewa uraia mfano wa USA ni lazima uape kwamba utaweza kupigana vita kwa USA, na kulinda USA kitu ambacho ni cha kawaida kwa nchi yeyote. USA hawakukatazi uwe na uraia wa nchi nyingine na ndiyo maana wa Nigeria na Wa Ghana wana uraia wa USA na nchi zao!.

Swali la msingi lipo palepale Je ni kwa nini Nchi Tajiri kama Marekani na Canada zinatupa uraia sisi Watanzania Masikini wakati kuna watu wengi wanataka uraia kutoka nchi mbalimbali je wa Marekani wanapata nini kwa kijana wa Kitanzania? Je na kama wanapata kitu je kwanini hicho kitu si kizuri kwa Tanzania? wakati wewe ni Mzawa! na ndugu zako na wazazi wapo Tanzania?. Sababu ni kwamba wanajua Wahamiaji wanachangia kuliko kuchukua na nchi inakuwa imara kwa kuwa na wahamiaji bali nchi yetu masikini ya Tanzania inadiriki kufukuza watoto zao kwasababu ya kuchukua uraia!! halafu tunajiuliza je ni kwanini USA na Canada ni matajiri na sisi ni Masikini ni kwasababu tunafanya maamuzi mengi yasiyo ya msingi bali ya kibinafsi!!.
 
Rugwe na wengine ukweli ni kwamba USA na canada wanaruhusu uwe na uraia wa nchi nyingine lakini wakati ukipewa uraia mfano wa USA ni lazima uape kwamba utaweza kupigana vita kwa USA, na kulinda USA kitu ambacho ni cha kawaida kwa nchi yeyote. USA hawakukatazi uwe na uraia wa nchi nyingine na ndiyo maana wa Nigeria na Wa Ghana wana uraia wa USA na nchi zao!.

Swali la msingi lipo palepale Je ni kwa nini Nchi Tajiri kama Marekani na Canada zinatupa uraia sisi Watanzania Masikini wakati kuna watu wengi wanataka uraia kutoka nchi mbalimbali je wa Marekani wanapata nini kwa kijana wa Kitanzania? Je na kama wanapata kitu je kwanini hicho kitu si kizuri kwa Tanzania? wakati wewe ni Mzawa! na ndugu zako na wazazi wapo Tanzania?. Sababu ni kwamba wanajua Wahamiaji wanachangia kuliko kuchukua na nchi inakuwa imara kwa kuwa na wahamiaji bali nchi yetu masikini ya Tanzania inadiriki kufukuza watoto zao kwasababu ya kuchukua uraia!! halafu tunajiuliza je ni kwanini USA na Canada ni matajiri na sisi ni Masikini ni kwasababu tunafanya maamuzi mengi yasiyo ya msingi bali ya kibinafsi!!.
Wengi wanahama kwenye hizo nchi ni kwasababu ya uozo,and they cant take it...Wanaorudi wengi wao kama waliotajwa humu,nhuwa wana connections...

Wasiorudi wengine different reasons, ila ni wale ambao wengi walienda mahali ambapo michango yao inathaminiwa, na pia wanaweza kujiendeleza wao na jamii iliyowazunguka,(pia ikiwezekana wale ndugu waliowaacha nyumbani nk)

Pia wanakuwa judged based on their merits and characters...

Siyo kila mtu anaweza kuvumilia injustices and such blunders, utajikuta unapoteza muda kwenye mambo yasiyo na maendeleo.
 
Matola please mkuu...Ukishasema "Unaweza kuwa raia wa marekani na ukawa raia wa Tanzania" Hilo la "sheria kutokuruhusu", haliendani na kauli ya awali...

Unaweza ukanitafsiria hiyo kauli hapo juu na ika make sense?

Unakubali na kukataa at the same time..."Unaweza kuwa raia wa "Marekani na Tanzania", ila huwezi kuwa raia wa "Tanzania na Marekani"

Jibu ungeliacha tu kuwa simple; huwezi kuwa raia wa marekani na ukawa raia wa Tanzania, period.

Kumbuka mkuu hapa hatupo kwenye chumba cha mtihani, ila ningependa nieleweke kwamba, mtu anaweza akazipata fursa anazopaswa kuzipata raia wa nchi yetu na raia wa Marekani kwa wakati mmoja.
Yaani akiwa Marekani anapata fursa kama Mmarekani na akiwa Tanzania anapata fursa akiwa kama Mtanzania, ila system ys Tanzania inakuwa haina Taarifa za muhusika kule kwenye nchi anayoishi kwamba na kule ana uraia.
 
Kumbuka mkuu hapa hatupo kwenye chumba cha mtihani, ila ningependa nieleweke kwamba, mtu anaweza akazipata fursa anazopaswa kuzipata raia wa nchi yetu na raia wa Marekani kwa wakati mmoja.
Yaani akiwa Marekani anapata fursa kama Mmarekani na akiwa Tanzania anapata fursa akiwa kama Mtanzania, ila system ys Tanzania inakuwa haina Taarifa za muhusika kule kwenye nchi anayoishi kwamba na kule ana uraia.
Hapana mkuu, you got it twisted,

Unachozungumza wewe hakiwezekani!

huwezi kuwa raia wa marekani kwa siri na ukawaficha immigration hapo bongo, labda kama wewe ni diplomat na haya mambo yalivyo, (corruption), then maybe.

Ukitumia passpot ya Tanzania kusafiri, ni lazima uwe na green card,(endapo unayo green card) ila usipotumia passport ya Tanzania, then ina maana una passport ya Marekani...

Kifupi, kama nchi yako haina sheria ya uraia wa nchi mbili, basi hiyo passport unaisurrender together with the green card siku unachukua uraia wa marekani.

Na kwahiyo huwezi ku wadouble play kama unavyotaka ku imply.
 
Kwa mfano tukiwa na uraia wa nchi mbili (au zaidi - sielewi kwanini iwe ni nchi mbili tu!) itamnufaisha vipi Mtanzania ambaye ni "Mkenya-Mtanzania" au "Mtanzania-Mkongo" au "Mtanzania -Mmalawi". Hoja ya uraia wa nchi mbili lazima itenganishwe na hoja ya faida za kiuchumi.
 
Hapana mkuu, you got it twisted,

Unachozungumza wewe hakiwezekani!

huwezi kuwa raia wa marekani kwa siri na ukawaficha immigration hapo bongo, labda kama wewe ni diplomat na haya mambo yalivyo, the maybe.

Ukitumia paspot ya Tanzania kusafiri, ni lazima uwe na green card, ila usipotumia passpirt ya Tanzania, then una ya Marekani...

Kifupi, kama nchi yako haina sheria ya uraia wa nchi mbili, basi hiyo passport unaisurrender together with the green card siku unachukua uraia wa marekani.

Na kwahiyo huwezi ku wadouble play kama unavyotaka ku imply.
jmushi1
Unaweza kuwa raia wa Marekani na kuendelea kuwa na pasipoti yako. Nawajua wabongo wengi tu wenye pasipoti za Marekani na Bongo.
 
jmushi1
Unaweza kuwa raia wa Marekani na kuendelea kuwa na pasipoti yako. Nawajua wabongo wengi tu wenye pasipoti za Marekani na Bongo.
Mkuu Jasusi,
Hao wabongo ama mbongo huyo anaposafiri kwenda Tanzania ni lazima aitumie hiyo ya USA, otherwise muweke wazi kama sheria ya uraia wa nchi mbili imeshapitishwa Tanzania.

Kwasababu ukitumia passport ya Tanzania,watakuuliza visa ya marekani,(kama utakuwa umetokea marekani) halafu ukiwaonyesha passport ya Marekani wanakuachia?

Kama wanafanya hivyo na wakati sheria ya urai wa nchi mbili haijapitishwa basi ni makosa ya kisheria yanafanyika.
 
jmushi1
Unaweza kuwa raia wa Marekani na kuendelea kuwa na pasipoti yako. Nawajua wabongo wengi tu wenye pasipoti za Marekani na Bongo.
Bora useme mkuu, ndio maana hizi thread nyingine kabla ya kuchangia unapaswa uwe na overseas traveling experience, labda yeye hajui kama wasafirisha unga trip moja anaweza kutumia passport 3.
 
alikuwa na soo gani ndugu hadi akakimbia USA? jf kuna mambo.
Umemsahau mshauri wa rais wa mambo yaburudani Ruge Mutahaba na ye an aurai wa nchi bili USA na Tanzania . Huyu Leticia Nyerere ana green card hana passport ya USA na baad aya kukimbialia USA ,kudai yeye ni Princess na kutishiwa maisha na TZ Royal fammily , Lazaro Nyarandu hana uraia wa Marekani labda awe na Green card ,atakuanaje nayo wakati alikimbia USA baada ya kuibua soo kubwa akawa ana tafutwa na FBI, kuridi TZ na ubunge juu, huyo labda awe na Greencard!
 
Mkuu Jasusi,
Hao wabongo ama mbongo huyo anaposafiri kwenda Tanzania ni lazima aitumie hiyo ya USA, otherwise muweke wazi kama sheria ya uraia wa nchi mbili imeshapitishwa Tanzania.

Kwasababu ukitumia passport ya Tanzania,watakuuliza visa ya marekani,(kama utakuwa umetokea marekani) halafu ukiwaonyesha passport ya Marekani wanakuachia?

Kama wanafanya hivyo na wakati sheria ya urai wa nchi mbili haijapitishwa basi ni makosa ya kisheria yanafanyika.

What is ur Argument here Brother? uko Bungeni unataka kufanya Amendments au swala kwamba watu wanatumia fursa za pande zote kwa wakati mmoja?
 
Kwa mfano tukiwa na uraia wa nchi mbili (au zaidi - sielewi kwanini iwe ni nchi mbili tu!) itamnufaisha vipi Mtanzania ambaye ni "Mkenya-Mtanzania" au "Mtanzania-Mkongo" au "Mtanzania -Mmalawi". Hoja ya uraia wa nchi mbili lazima itenganishwe na hoja ya faida za kiuchumi.
Kama wasipokuwa na sheria ya uraia wa nchi mbili, basi ukiuchukuwa wa marekani na ukaenda ku invest bongo, unakuwa regarded as a foreign investor, kama hawafanyi hivyo, basi hawafuati sheria.
 
Back
Top Bottom