samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Ndio bei yake ilikuwa hivyo? Kweli akina siye tusingeweza.....
Ndio bei za viwanja vya serikali hiyo siku hizi mkuu.. yaani kiwanja kidogo kabisa ni around 4m! sasa hapo mfanyakazi wa kawaida atamudu vipi kununua kama sio kutaka watu waibe tu?