Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,665
- 3,524
Wana haki lakini pale inapotokea miradi ya viwanja inapotokea yanakuwepo majina yaleyale lazima tuwe na mashaka.
wengi walipata nafasi, ila ilipofika kwenye malipo ndio hapo ikawa hakuna jinsi ila kwa mwenye nazo.
Viwanja vilikuwa low density hadi Tshs milioni kumi na mbili na high density vilikuwa around Tshs millioni 6.