Jamani kuna usiri mkubwa sasa hivi wa kugawana viwanja katika eneo hili la Jeshi kalibu na nyumba za mawaziri Masaki na Sea cliff. Kwa habari nilizopata ni kuwa Mwinyi kesha pata eneo lake na viongozi wengine wakubwa wakubwa wameshagawana.
Mpaka sasa hivi sijasikia kuwa serikali imewapa eneo hilo rasmi hawa vigogo, au wamepewa kwa vigezo vipi.Au hii mbinu kama aliyoifanya na Magufuli naMkapa kugawa maeneo potential kama hayo bila zabuni au sababu zozote za kuhalalisha kugawiwa maeneo muhimu kama hayo
Mpaka sasa hivi sijasikia kuwa serikali imewapa eneo hilo rasmi hawa vigogo, au wamepewa kwa vigezo vipi.Au hii mbinu kama aliyoifanya na Magufuli naMkapa kugawa maeneo potential kama hayo bila zabuni au sababu zozote za kuhalalisha kugawiwa maeneo muhimu kama hayo
Last edited by a moderator: