OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 428
Mwanamke ambaye ni mwanachama wa CCM ameongaza kura za maoni za kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa kiti cha ubunge cha jimbo la Busanda
Mwanachama aliyeongoza kura za maoni za chama hicho ni Lolensia Bukwimba alipata kura (230)
wagombea wengine na kura walizopata zikiwa katika mabano ni mfanyabiashara maarufu kanda ya ziwa Donald Max(159),Sosthenes kulwa(115)Nicholaus kasendamila(47) na mkuu wa wilaya ernest kahindi(7)
Mwanachama aliyeongoza kura za maoni za chama hicho ni Lolensia Bukwimba alipata kura (230)
wagombea wengine na kura walizopata zikiwa katika mabano ni mfanyabiashara maarufu kanda ya ziwa Donald Max(159),Sosthenes kulwa(115)Nicholaus kasendamila(47) na mkuu wa wilaya ernest kahindi(7)