Karhumanzira
Member
- Oct 19, 2011
- 50
- 9
Habari Mama Tibaijuka,
Kuna vigogo wa serikali wanamiliki ma-estate bila kuendeleza na kutuachia mapori tu, sheria ya ardhi inasema mtu akimiliki eneo kwa miaka mi3 bila kuendeleza ananyang'anywa, mbona hawa watu haufanyi hivyo? Tunawaomba uwaambie wayasafishe wanatujazia mapori tu huku.
Kuna vigogo wa serikali wanamiliki ma-estate bila kuendeleza na kutuachia mapori tu, sheria ya ardhi inasema mtu akimiliki eneo kwa miaka mi3 bila kuendeleza ananyang'anywa, mbona hawa watu haufanyi hivyo? Tunawaomba uwaambie wayasafishe wanatujazia mapori tu huku.