Maalim seif anatakiwa kutoka mafichoni kuokoa chama. Naona ukimya wake na huu mwendelezo wa kujitoa kwa wanachama hautakiwi kuachwa bila ufumbuzi. Kufikia 2015 chama cha CUF kinaweza kisiwepo tena.
Maalim hana wasiwasi CUF haitaki tena keshakula hulua !!!
Chama
Gongo la Mboto DSM