Hiki kiji-gazeti cha Hoja pamoja na kila cha Sauti Huru vinatia aibu kwa tasnia ya habari. Aibu aibu aibu ukisoma mambo wanayoandika humo ndani. Wengi wa waandishi wa hivi vijarida ni wanaume na ndio nashangaa wanaume gani wanandika umbeya kama huu?
Hoja wamezuka na CHAUMMA kuwa ni kimeanzishwa na CHADEMA! Nani asiyejua CCM ndio magwiji wa kuanzisha vyama vya msimu? Lakini pia hawa Hoja wamejikita sana kumshambulia Freeman Mbowe yeye binafsi kwa kusema kuwa 'DJ kuiongoza Tanzania kitakuwa kilele cha udhaifu'. Mbowe amekuwa kwenye siasa miaka 20 sasa imekuwaje leo ndio wanaona u-DJ wake? Hao ambao si ma-DJ wamefanya nini hii nchi?
Sauti Huru wao kazi yao ni moja - kuhubiri ukabila. Na waandishi wake ni wafanyakazi ofisi za CCM-Lumumba. Sijui CCM watajitoaje kwenye hii dhambi ya kugawa watanzania? Watapata wapi moral authority ya kusema wao ni chama cha watanzania wote na sio mafisadi? Wanataka watanzania wajikite kujadili ukabilia, udini ili wao CCM waendelee kuifasadi nchi?
watu wanakimbia CHADEMA kwa UKANDA, UDINI, UCHAGGA. wanachama wake ni wakristo tu.
Chama cha wachanga,chama cha kikatoliki
watu wanakimbia CHADEMA kwa UKANDA, UDINI, UCHAGGA. wanachama wake ni wakristo tu.
Well hawa wote ni wanachama hapa JF tusubiri wao watasema nini?...everything possible under the sun!
Rais dhaifu, serikali dhaifu,chama dhaifu, spika dhaifu,wabunge dhaifu,mbinu za kuibomoa Chadema nazo dhaifu. Upuuzi mtupu, habari hizi hata mtoto wa chekechea hawezi kuziamini. Watanganyika tukatae udhaifu kwa kuipiga chini CCM.
1 out of every 5 men who are supporting CCM are Gay.Look at 4 of your CCM friends,if they're straight then its time you come out of the closet.
Kijigazeti DHAIFU hakina hoja, kinatumiwa na mafisadi wa magamba ili kuchafua hali ya hewa ndani ya CHADEMA. Kama zilivyoshindwa propaganda za magamba katika kutaka kuonysha kwamba CDM ni chama cha wakristo na wachagga juhudi zao hizi kupitia hiki kijigazeti uchwara zitagonga ukuta.
Mkuu, pamoja na kuwa hilo gazeti silipendi na wala sijawahi hata kulishika....lakini ni kweli kunafununuStupid newspaper at work.Hili gazeti mmiliki wake ni Kitwana Kondo
Walijisahau wakatumia mbinu zile zile walizotumia kukipunguza nguvu CUF kwamba ni chama cha KIISLAM, na kwamba kinachochea vurugu na mauaji (nakumbuka mkuu wa polisi bwana Mahita alionesha visu vyenye rangi ya bendera ya cuf kwamba walijiandaa kufanya mauaji, mpaka leo sijasikia aliepelekwa mahakamani kwa kuhatarisha usalama wa taifa). Hizi siasa za CCM za kuwagawa watu zinatakiwa zilaaniwe, bora hizo za kukigawa chama! CDM kazi kwenu.