Kama ni kweli nina wasiwasi na nia ya hawa watu kwani huko ccm walikuwepo kabla, nini kiliwatoa na leo nini kinawarudisha? Hivi mtu atapike matapishi yake halafu kabla hayajakauka anayarudia. Hao hawafai kuwa viongozi katika jamii hata katika familia zao nina wasiwasi wamezitelekeza kwa kuogopa kuwajibika. Tuwe makini kuwatambua hawa watu.