Ndugu zangu Watanzania, moja ya kigezo kwa mujibu wa maelekezo ya bodi ya mikopo nikuwa BODI itatoa mikopo kwa wanafunzi waliomaliza kidato cha sita 2010-2012....
Jaman vipi sisi watoto wa wakulima tuliomaliza miaka ya nyuma na tunahitaji kuendelea kwa sasa[/QUOTE
sasa wewe ulikua loan board ungewauliza hukohuko wangekupa jibu la kueleweka