Vigezo vilivyotumika kumpa nishani speaker wa sasa!

Speaker Makinda anastahili kupewa nishani hii kutokana na ujasiri wake wa kupitisha mswada wa Sheria ya mabadiliko ya katiba kwa maslahi ya ccm. Hii ndo shukrani ya JK kwa Makinda.
 
Kwa hili mukulu pamoja na hidden agenda najaribu kuelewa nadharia yake. Adam S Mkwawa na Msekwa pengine walikuwa maspika wazuri pia kwa wakati wao. Tukumbuke kuwa challenges za spika enzi za mkwawa na msekwa zilikua tofauti kidogo ndo maana hawakuweza kuwika kama Sitta. Makinda kapewa nishani kwa kuwa 'spika wa kwanza mwanamke'. Well, hata wakati anachaguliwa uanamke wake si ndo ulikuwa kigezo?
 
Yaani hizo tuzo zingeweza kuwa na heshima angalau kidogo but kwa kumzawadia BI MKORA, ni valueless,maanake ni kwamba hao waliopewa hizo ni wajinga wa wajinga.
 
Hizo nishani bado ni za kisiasa! Yaani hii nchi inafanya mambo ambayo hata mbuzi anayashangaa
 
Speaker Makinda anastahili kupewa nishani hii kutokana na ujasiri wake wa kupitisha mswada wa Sheria ya mabadiliko ya katiba kwa maslahi ya ccm. Hii ndo shukrani ya JK kwa Makinda.
Makinda is a case of a very fortunate,ugly,politically corrupt and biased female speaker in a very poor and corrupt Tanzanian government-'period'.......what a shame to Tanzanian female leaders..........
 
Si kweli basi kama hivyo EL angepata, lakini cha ajabu hata Adamu Sapi spika wa kwanza hakupata kapewa Makinda ambaye hajamaliza hata mwaka lini wamepima utendaji wake na matokeo (outcomes).

Jamani hii nchi kuanzia ikulu hadi sijui wapi, wakuu wote wanatumia masaburi ktk kfikiri, kuwa na kutenda. Hupati pich inakuwaje wakati watu wazima na akili zao walipokuwa wakifikiria candidates wa kupata hizo nishani, jina la Adam Sapi Mkwawa halikuweza kuwazwa hata na mmoja wao. Hii serikali imejaa wehu tupu huko juu
 
Back
Top Bottom