Njunwa Wamavoko
JF-Expert Member
- Aug 11, 2012
- 5,745
- 2,338
wakuu naombeni msaada kuhusu hili swaala,,,,hivi hakuna ujanja wakufanya laini yoyote ya zantel kuweza kununua vifurushi vyao,,,,maana nilipiga customer caree wakanambia lazima uwe na special namba ambayo iko ktk format 07175 na kama haiwezekani basi hizo special no naweza nizipate wap hapa dar ,,,nipo karriaakooo
karibuni,,,,tusichokane
karibuni,,,,tusichokane