kama mfuatiliaji wa karibu wa siasa za kenya utagundua kuelekea uchaguzi mkuu 2013 vifo vya viongoz vinaongezeka.nijikite kwa hawa wachache ,prof saitoti,njega karume na john michuki.ukiangalia kwa umakini hao wote walikuwa marafiki wa karibu sana wa rais mwaikibaki ambao inaaminika kuwa wao ndo masterminder wa vurugu za post election 2008.kwa kuwa wao ndo maishahid wa karibu waliokuwa wanategemewa, na ambao wanajua mchezo wote yaonekana ili kumweka mwaikibaki katika hali nzuri baada ya uchaguzi imelazimika wapoteze maisha ili yeye awaeze kuwa shwari na kumweka uhuru kenyata katika mikono salama.Je kwa mtiririko huu inatufundisha nn sisi watanzaia