Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Ni siku moja tu baada ya kufariki mwanafunzi wa mwaka wa tatu huko COED, usiku wa kuamkia leo kijana mwingne wa mwaka wa pili amefariki na wenzie kadhaa kujeruhiwa baada ya kupigwa na radi maeneo cafeteria MML CAFE huko COLEGE YA SOCIAL! Rip Raphael na Charles Mfaume.