Vifo Tabora: Uongozi wa NSSF Makao Makuu Uwajibike

Mwanakijiji,

Ubinafsi umetujaa mpaka kwenye macho, ukiangalia unaona. Sidhani kama kuna wakujiuzulu hapa.

Mwenzetu huyu, umesahau mara moja hii? Nina idadi ya zaidi ya watoto 22 wamepoteza maisha na wengine tena wafamilia moja.

Inasikitisha sana.
 
It is not about me GT, I have never claimed to be what people say I should be, I'm just a blogger and citizen journalist. I really don't care (you should have figured that out by now) what people think about me au jinsi wanavyonitaka niwe.

It is about the little souls that perished overnight in Tabora. It is about them; you can say anything about me (which won't bother me) but in this one kuna watu watawajibishwa na wa kwanza atakuwa Dr. Dau. I'm making my case and believe me, I'm writing from the reservoir of pain and anguish.

Siyo kuhusu Masau. I wrote THIS ARTICLE. Isome na utaelewa where I'm coming from. GT, this is not about me, it is not about you, it is not about THI/NSSF saga, and definitely it is not about Dr. Dau so don't take it personal. It is about them; it is about those kids who perished in NSSF building. If you don't get that part, I can't help you mate, you take it anyway you like. I'm done.

I confess that I disagree with you on most things. That’s fine: disagreement is a swahili sport and we enjoy it. But in recent months, I feel you have crossed a few lines that should not be crossed — and cannot go unchallenged. My worry is you see journalism as a partisan tool to be used against people of whom you disapprove, but from whom others should be exempted.

The trouble with your case Mwanakijiji is that whether or not things were nominally true they seemed to be presented in untrue forms, combinations and juxtapositions. And certainly not in any way fairly or in any sort of balance.

In the wake of your overtly biased interview with Dr MASAU surely you should have learnt your lesson by now. Your lack of rigour is why you lost your credibility.

While what you have authored in the past issues may partly or wholly accurately reflect the truth, it has been your professional responsibility to report fact.

It is indicative of your style and methods that you should demonstrate your flawed intellect in trying to create a trap out of your own confusion, but that is why you are more suited to the role of a gossip-mongering hack than a reputable counsel.


In the early days, i was misguided into believing that you could have been the man who brought down JK, Mwanakijiji instead you’re a second rate hack writing crap in a crap newspaper. Well done, mate.

The saddest thing is that you could have been a genuinely great journalist but alas! I just think you’re a paid hack. Nothing wrong about that - we all have mortgages ,rents, bills etc. But please don’t pretend your one of the good guys.
 
hehehehe our tagert has been always discussing people... sasa hata haijajulikana tatizo ni wapi... anaambiwa mtu awajibike tayari...

Mabadiliko haya yafikira naona kama ya kijima vile....


Endapo habari za vifo vya watu karibu ishirini kwenye ukumbi wa NSSF zitakuwa ndivyo zilivyo mtu wa kwanza kuwajibika itabidi awe Mkurugenzi wa NSSF Dr. Ramadhani Dau.

TUSOME NA KUELEWA KABLA YA KUHUKUMU
1)))ELEWA MAANA YA ENDAPO

2))ZITAKUWA NDIVYO ZILIVYO

POLEN WAFIWA KAMA NDIVYO ZILIVYO......

Upupu tu!!!
 
mteteeni mpendavyo; vifo hivi vya watoto hawa vitasikika kilio chake.

Hatetewi mtu hapa!!! facts zitangulie kabla ya ramli!!!

Kama mwandishi wa muda mrefu lazima uwe unafahamu "law of natural justice"; wewe kabla ya kujua lolote basi warukia watu wajiuzulu...

Kwa hakika umeonyesha udhaifu mkubwa sana... na nakuhakikishia wananchi wakijua una unazi ndani yake... kurudi kuku-amini itakugharimu sana... rudi kundini kwenye uandishi proffesional wenye ethics... heri yetu tusio waandishi...

Nakupenda rafiki... lakini sina njia nyingine ya kukutoa hapo ulipo zaidi ya kuweka mambo hadharani hivi kwamba acha uandishi wa ki-kanjanja....
 
....BIG slow curve ball, evidently kwamba pitcher ana torn rotator cuff!! Bingwa, unaua timu, una-risk homerun namna hiyo!! jaa!

....kama kuna kuwajibishwa au vinginevyo, basi ni meneja wa ukumbi na 'ngelewele' wake! Inaonekana una hasira sana na huyo Dr. Dau.....! kaazi kweli.

Ndio maana nikasema kuwa huyu inhouse journalist anataka ku settle some scores lakini I am sure kuwa this time hatoomba time out kwani atakuwa kajiandaa vya kutosha na timu yake ya defense otherwise na mimi naona itakuwa ni wakati mzuri kuweka record straight na yes I am up for this na najua by JUMAMOSI tutakuwa tumefikia mahala pazuri tuuu
 
Ooooooooouch! a hack? a paid hack? that's deep, maan!.
You heard me....ndio maana nikasema it will be very interesting by saturday machana kwani tutakuwa tunatazama mechi ya Hammers V/s Trotters kwenye sky 1 kisha half time tunarudi kutazama anasemaje huyu mwandishi wa Free media humu JF na najua mpaka mechi ya Everton v/s Newcastle inaisha watu mtakuwa mshapata picha ya huyu mwandishi mwandamizi wa gazeti la Cheche...sasa sijui kama cheche zenyewe ndio hizi au vipi
 
hamna lolote hasa kwa Tanzania, hii kesi itawaangukia meneja wa ukumbi/mwenye hilo disco na walinzi wake.....zaidi ya hapo unataka kujigeuza kichekesho tu!

Swali, hivi hilo jengo limejengwa mwaka gani?

ZAIDI ya watoto 14, wamefariki dunia baada ya kukosa hewa na kukanyagana ndani ya ukumbi wa starehe wa Babol’s Night Club, wa mjini hapa.

Hata hivyo mmiliki wa ukumbi huo ulioko katika jengo la NSSF, Shar Patel, hakuweza kupatikana kuzungumzia tukio hilo.

Source TanzaniaDaima

Huu uandishi wa Mwanakijiji ni uandishi wa chuki, unaambatana na kuwa na bifu na mtu.

Tukio limetokea mwandishi makini yeyote kwanza angetafuta data tosheleza kabla ya kukurupuka na madai mazito. Nadhani Bwana mkubwa huyu angekuwa hakimu angefunga kila mtuhumiwa

Taarifa zinasema mmiliki wa ukumbi ni Bw Shah Patel katika hali ya kawaida wajibu wa msingi wa usalama unaangukia kwanza kwake yeye kwani ndie anaewajibika kuingiza watu idadi zaidi ya uwezo wa ukumbi ( kwa maana ya kuchapisha tiketi nyingi) Na pia suala la walinzi ( ambao ni waajiriwa wa Mr Patel) sasa iweje tena Bwana mkubwa umesha jump into conclusion anaetakiwa kuwajibishwa ni DG na umekwenda mbali zaidi kusema na waziri nae! hee jamani hizi kalamu za njaa zitatufikisha pabaya...

Lakini kwenye hili walau Mwanakijiji ameonyesha rangi yake halisi, kwani haya madai madai ya kumtaka Dr Dua ajiuzulu hayakuanza leo alikuwa anatatafuta nafasi ya kukazia chuki zake na sasa kaipata, but sorry this one is not good enough try again....
 
Inawezekana inajalisha. Hiyo legal doctrine uliyotaja inategemea na jurisdiction vile vile, sheria za Tanzania specifically. Na hiyo doctrine inahusiana na kesi za madai, tort law. Hapa inawezekana sheria inayohusika ni ya property law, au Tanzania wanaita land law, kwa sababu inahusisha upangishaji, iwapo alikuwa kapangishwa/kakodishwa mtu. Na ni nini walikubaliana kwenye lease agreement, mambo ya contracts yana kick in. Kwa hiyo nadhani ni muhimu kutokulichukulia hili swala kijumla jumla na kuhukumu bila kuwa na details.

Kwa hiyo nadhani bado kuna umuhimu wa kujua : Je, siku ya maafa ni nani alikuwa in charge wa jengo, mkodishwa ukumbi, NSSF wenyewe, mpangaji au nani ?

Wewe kuna watu hapa hawajenda shule, sasa huwasiadii na post kama hizi zakujionyesha onyesha, weka maneno simple ili wananchi wote waelewe ni ana madhumuni ni kuleimisha taifa sio kujionyesha onyesha na uongozi uongozi tu! hata pasipotakiwa uongozi!
 
Wewe kuna watu hapa hawajenda shule, sasa huwasiadii na post kama hizi zakujionyesha onyesha, weka maneno simple ili wananchi wote waelewe ni ana madhumuni ni kuleimisha taifa sio kujionyesha onyesha na uongozi uongozi tu! hata pasipotakiwa uongozi!

lol duh!!

mkulu umenichosha sana na rant yako...lakini nadhani its about time tukaachana na cheap one liners na kwenda kwenye in depth analysis maana huko ndiko tutaseparate men from boys au unasemaje?
 
Mzee Mwanakiji inaonyesha wazi kuwa UNACHUKI BINAFSI NA DR DAU,na pia inaonyesha hauko peke yako,mpka inafika wakati unajiamini na kusema kuwa LAZIMA atawajibishwa ama awajibishwe inatisha sana,mtandao wako na jamaa wako tunataka tuuone,Hivi mtu mwenye heshima kubwa kama wewe kwenye blog hii unaandika pumba kiasi?Ama kweli una lako jambo!!Mzee mwanakiji lete hoja sio CHUKI YAKO JUU YA DR DAU,tunakuona una kwenda kwenye CONCLUSION!!!Acha chuki zako binafsi wewe!!Kwanza ungetufahamisha wakati vifo vinatokea,jengo lip[o chini ya nani?Kwa mfano ukimbi wa Ubongo Plazza ni wa mifuko ya pension,lakini ukumbi ule umekodishwa kwa kwa mtu ambaye pia ndio mwenye hotel pale juu,jee watuwakipigana na kuumizana au kuuana litakuwa jukumu la mifuko hii ya pension?Ofisi ya Waziri wa kazi kwa ipo ktk yaliyokuwa makao makuu ya NSSF,je waziri au katibu wakipigana na wakaumizana au kuuana litakuwa suala la Dr Dau?Lete HOJA SIO VILOJA
 
Mwanakijiji,
ingia useme nini sababu ya Dr. Dau kujiuzulu. Huenda unasababu ambayo hata nasi tutaona ina mantiki ya yeye kujiuzulu, lakini nilivyosoma habari kwa "Tanzania Daima" kweli inatisha, mtu anasema "huenda watoto waliwazidi nguvu walinzi ndio maana ukumbi ukazidi", kweli hii si sababu.
Mungu awalaze pema hao watoto.
 
Naweza kusema kuwa this is another OWN GOAL by Mwanakijiji au tuseme kwa lugha nyingine kuwa its been a SPECTACULAR NOSEDIVE

Jamani this is typical gung-ho Mwanakijiji: get a whiff of something scandalous, speak to vested interest sources and fail to provide rigorous analysis.

This also says alot about Freemedia owners kwani kwa kichwa kama hiki kupewa space kila wiki its a beggars belief kuwa any sane person would take him serious at all

Whats next? KLH news kumfanyia interview Dr SLAAA on majengo kuanguka na kuuwa watoto Tabora?
 
GAME THEORY,ana insist on indepth analysis so as to separate men from the boys.humu JF,there seems to be sort of COLD WAR,sijakuwa member that long to know exactly whats going on,but it seems watu wanaviziana,a slight misdeamour and they dogs are unleashed.someone tueleze cause naona like watu wanatumia upana wa lugha ya kingereza to go personnal
 
Cha ajabu wale ma cheerleaders wake naona wote wameamua kumkacha kwani hii haihusini kabisa...na zaidi ya yote hayo, watu tunaendelea KUMKOMA NYANI GILADI tar tiiiib.

Yaani kama huyu ndio propagandist wa CHADEMA then i think its about time JJ MNYIKA akapewa nafasi maana ni failure at highest degree.

I cant wait for his next radio interview. It can be argued kuwa IQ yake na ya SUED KUBENEA hazijapishana sana. Unajua saa zingine naona raha kujadiliana na Philemn Michael kuliko huyu mtu anayejisifia kuwa ana MIDATAZ kumbe hana lolote

What a shame! sasa ndio nini? is it desperation au ndio attention seeking?
 
Mzee Mwanakiji inaonyesha wazi kuwa UNACHUKI BINAFSI NA DR DAU,na pia inaonyesha hauko peke yako,mpka inafika wakati unajiamini na kusema kuwa LAZIMA atawajibishwa ama awajibishwe inatisha sana,mtandao wako na jamaa wako tunataka tuuone,Hivi mtu mwenye heshima kubwa kama wewe kwenye blog hii unaandika pumba kiasi?Ama kweli una lako jambo!!Mzee mwanakiji lete hoja sio CHUKI YAKO JUU YA DR DAU,tunakuona una kwenda kwenye CONCLUSION!!!Acha chuki zako binafsi wewe!!Kwanza ungetufahamisha wakati vifo vinatokea,jengo lip[o chini ya nani?Kwa mfano ukimbi wa Ubongo Plazza ni wa mifuko ya pension,lakini ukumbi ule umekodishwa kwa kwa mtu ambaye pia ndio mwenye hotel pale juu,jee watuwakipigana na kuumizana au kuuana litakuwa jukumu la mifuko hii ya pension?Ofisi ya Waziri wa kazi kwa ipo ktk yaliyokuwa makao makuu ya NSSF,je waziri au katibu wakipigana na wakaumizana au kuuana litakuwa suala la Dr Dau?Lete HOJA SIO VILOJA


Hebu mwacheni mwanakijiji wangu nyie wadau wa DAU!

Swali la msingi la kujiuliza, je UKUMBI HUO ULIJENGWA NA NSSF KIMUUNDO WA UKUMBI WA DISCO? Kama hapana lazima safety and emergency measures zitakuwa zimekiukwa.

Hivyo, aliyeingia mkataba wa DISCO atakuwa ametengeneza chumba cha mauaji, I mean Killing rooms.

Dharura ikitokea like umeme kukatika au moto wote wanakua kwenye pa kuuliwa.

Kwa hiyo tuelezwe kwanza, ukumbi ukoje? Isije ikawa ni wa swala ya iddi wao wameugeza wamuziki wa watoto wetu wengi

Asha
 
GAME THEORY,ana insist on indepth analysis so as to separate men from the boys.humu JF,there seems to be sort of COLD WAR,sijakuwa member that long to know exactly whats going on,but it seems watu wanaviziana,a slight misdeamour and they dogs are unleashed.someone tueleze cause naona like watu wanatumia upana wa lugha ya kingereza to go personnal

Well, Mwanakijiji, shall we compare thee to KUBENEA? Another unreliable name who places himself at the centre of every story in place of the real cast.

KUBENEA na uandishi wake its very easy kujua IQ yake ni ndogo sana na haimwezeshi kuchanganua simple logic let alone mambo yahusiyo LANCASTER AGREEMENT. The same applies to Mwanakijiji na Uandishi wake its very simple kujua capacity yake ya kufikiria ni ya namna gani na mfanio ni hii thread aliyoianzisha kwa papara ili hali wafiwa hata hawajakosha maishi kule Tabora.


Lakini on a flipside I’m really not surprised to see him here defending himself as it clearly satisfies his ego to be the focus of attention: it would suit his style and skills better to apprentice himself to an interviewer of Hamza Kasongo or Jenerali Ulimwengu ilk than allow his heavyweight pretensions to trap him in the tabloid gutter before he gets any deeper - that is, if he ever want to be more than a roving pawn-for-hire.

At least KUBENEA recognizes his populist preferences and can still tailor his career accordingly.
 
Hebu mwacheni mwanakijiji wangu nyie wadau wa DAU!

Swali la msingi la kujiuliza, je UKUMBI HUO ULIJENGWA NA NSSF KIMUUNDO WA UKUMBI WA DISCO? Kama hapana lazima safety and emergency measures zitakuwa zimekiukwa.

Hivyo, aliyeingia mkataba wa DISCO atakuwa ametengeneza chumba cha mauaji, I mean Killing rooms.

Dharura ikitokea like umeme kukatika au moto wote wanakua kwenye pa kuuliwa.

Kwa hiyo tuelezwe kwanza, ukumbi ukoje? Isije ikawa ni wa swala ya iddi wao wameugeza wamuziki wa watoto wetu wengi

Asha


Well- for a start Mwanakijiji can’t even be drawn to answer a couple of simple and reasonable questions put by his critics humu JF

It is surprising that the polite and patient people here have even bothered.
You know what you’re dealing with. His slippery lying performance over Dr MASAU was a bit of a giveaway.

You didn’t really expect he’d evolved into an honest and decent journalist these last couple of weeks as a result of that, did you?

Some of us take comfort in the fact that he’s tarred forever over Dr MASAU, and that we don’t have to wake up every day living in his ugly mind and world.
 
Well- for a start Mwanakijiji can’t even be drawn to answer a couple of simple and reasonable questions put by his critics humu JF

It is surprising that the polite and patient people here have even bothered.
You know what you’re dealing with. His slippery lying performance over Dr MASAU was a bit of a giveaway.

You didn’t really expect he’d evolved into an honest and decent journalist these last couple of weeks as a result of that, did you?

Some of us take comfort in the fact that he’s tarred forever over Dr MASAU, and that we don’t have to wake up every day living in his ugly mind and world.

Persona Vandetta! Give me vindication. Usilielie tu, ama sivyo nitakuletea MAZIWA.

Mwanakijiji forever!
 
Asha Abdalah(mdee),acha kuwazuga watu,jamaa yako amejikita moja kwa moja kwa Dr Dau ajiuzulu,ilikuwa yeye kwanza aseme hayo unayo yasema wewe sasa,na sio kuwa dr Dau ajiuzulu.
Offisciual report ya serikali imekili kuwa watu 40 walikuawa na polisi kimakosa pemba,je nani alijiuzulu?Mv Bukoba zaidi ya watu 1000 alikufa nani alijiuzulu?Na waziri mkuu alikuwa Sauzi ana kula kuku.Tumekuwa tukishuhudi kila siku,watu kadha wamekufa katika ajali ya mabasi au malori na ajali nyingine mablimbali,mbona Waziri Masha hajajiuzulu?Asha Abdala(mdee) acha zako hizo,wewe ni mdau wa Mzee Mwanakijiji aliye kosa hekima,ameamua kujampu mkaka ktk CONCLUSION.
Kwenye Maslahi ya nchi acheni kuweka mbele chuki zenu binafsi na maslahi yenu binafsi,Mzee Mwanakijiji tunajua una njaa,na unataka kuuza gazeti lako,lakini mambo haya hayaendi kiholela holela.
Ulitokea upasuaji tata Muhimbili,mbona waziri hakujiuzulu wala mkurugenzi mkuu?
Yametoka mauaji ya wafanya biashara wa madini,mbona waziri hakujiuzulu?
nadhani Mzee Mwanakijiji umeishiwa,chuki zako weka pembeni,tunakujua kuwa wewe mtu wa Dr Masau.
Ninakusisitizia tena LETE HOJA SIO VILOJA(UTACHEKWA KWA VILOJA VYAKO)
 
Back
Top Bottom