vifaru na mashine za vita kenya zilikuwa zinaenda wapi?

Mwana wa Mungu

JF-Expert Member
Aug 14, 2008
1,003
83
Ati jamani, wakati mwingi nasoma blog za wakenya. lakini hadi sasa sijaelewa vile vifaru walivyoshusha wakenya hapa juzi, vile vilivyotoka Ukrain, vilivyokuwa vimetekwa na majangili baharini, vilikuwa vinapekelwa wapi?

kuna wengine wanasema vilikuwa vinapelewa Southern Sudan, wengine wanasema vilikuwa kujilinda na fujo za kikenya, wengine wanasema wanajiandaa kupigania kisiwa cha migido kilichopi ziwa victoria ambacho uganda wanataka kukinyang'anya, na wengine wanasema zilikuwa za ulinzi tu wa nchi.

Jibu ni lipi? na je, hicho kisiwa wanagombania nini hawa wapenda EAC na federation? wameanza mapema hivi hata wakati hatujaingia, mu7 ananyang'anya kisiwa....hahaha, na je, hivi Kenya ina asilimia ngapi kwenye ziwa victoria, si sehemu ndogo sana.

Mwisho, napenda kuwapongeza Wakenya, kuwa na nafasi ndogo sana kwenye ziwa victoria, lakini wanaoognoza kuprocess samaki wa ziwa hilo, kuwazidi watz na uganda wanaomiliki sehemu kubwa zaidi ya ziwa. Pamoja na kwamba, kilio kikubwa cha wakenya ni kwamba, watanzania na waganda wamekuwa wakiwaarrest fishermen wa Kenya wanapovuka mipaka kuja kuvua bila kulinda mazalia ya samaki kwenye maeneo ya Watanzania na waganda.
 
Hiki ndicho kisiwa ambacho wakenya wamekoroma vibaya mno, wanawakoromea waganda ati wagandwa wanawanyan'ganya. nimeamini ardhi ni mali kubwa kule kenya....kisiwa kidogoooo.

2eoz5ms.jpg


wameongea kwenye blog zao hadi wamechoka, hadi wamecompare nguvu za kijeshi za nchi yao na uganda. wengi wao wanasema ati kenya ina nguvu kuliko Uganda na tz. wengine wanapenda vile vifaru vilivyoshushwa juzi viende huko. inashangaza kuwa kisiwa chenyewe ndio hicho hapo. hadi watu wanafikia kulinganishana nguvu za kivita. pamoja na kwamba kama tungeangalia huko, uganda ina nguvu sana. na ina wanajeshi 50,000, wakati kenya wana wanajeshi hata 30,000 hawajafika, tz ni kama 30,000. not exactly. sisi wa east africa kupigana sio vizuri, lakini hiki kisiwa kimeweka tension kubwa sana kwa hawa wenzetu. swali, TZ TUWE MAKINI KWENYE MIPAKA YA KENYA. kenya wanajua kuwa wana asilimia 6% tu ya ziwa victoria, wanavua sana samaki kuliko nchi hizi tatu hata hivyo, na wanalitumia vilivyo, hivyo, ni rahisi hata sisi kuibiwa visiwa vingine kama hatutakuwa makini kule mipakani na kenya. ni vizuri doria za tz ziendelee na ziwe makini.
 
TZ TUWE MAKINI KWENYE MIPAKA YA KENYA. kenya wanajua kuwa wana asilimia 6% tu ya ziwa victoria, wanavua sana samaki kuliko nchi hizi tatu hata hivyo, na wanalitumia vilivyo, hivyo, ni rahisi hata sisi kuibiwa visiwa vingine kama hatutakuwa makini kule mipakani na kenya. ni vizuri doria za tz ziendelee na ziwe makini.

Soma habari kwanza mkuu, usikimbilie kunadika tu, kwanza Uganda ndo wamepeleka majeshi yao kwenye kisiwa, wala si wakenya, serikali ya kenya yangoja "to send delegations to Kampala over the dispute".

Sasa kusingizia Kenya si sawa infact wao ndio wamehandle hii isue diplomatically, sasa given kunao wanaongea sana kwenye ma blog na kwingineko lakini hao si Kenya ni wakenya wachache tu.
 
katika maswala ya mahusiano ya kimataifa, kuna mambo mengi ambayo yanaweza kuonekana madogo kwa juu lakini yakapewa na umuhimu mkubwa.

Hapa mgogoro ni mkubwa kuliko kisiwa, ni kuhusu nani ana kifua kikubwa, ni kuhusu nani hawezi kurudi nyuma, ni kuhusu nani anaweza kuweka precedent kwa madai ya baadaye, na kadhalika.

Kwa hiyo kuuangalia mgogoro huu kama wa kisiwa hiki kidogo tu kutakuwa kunaikosa ile picha kubwa.
 
katika maswala ya mahusiano ya kimataifa, kuna mambo mengi ambayo yanaweza kuonekana madogo kwa juu lakini yakapewa na umuhimu mkubwa.

Hapa mgogoro ni mkubwa kuliko kisiwa, ni kuhusu nani ana kifua kikubwa, ni kuhusu nani hawezi kurudi nyuma, ni kuhusu nani anaweza kuweka precedent kwa madai ya baadaye, na kadhalika.

Kwa hiyo kuuangalia mgogoro huu kama wa kisiwa hiki kidogo tu kutakuwa kunaikosa ile picha kubwa.

aaagh,

inakuwaje migogoro ianze au iendelee wakati ndo kwanza kuwa pamoja zaid kunapata kasi kama ujenzi wa makao ya east afrika community kule arusha?

kuonyeshana vifua, kuonyeshana nani hawezi kurud nyuma, na nk inahitajika leo hii kwa nchi ambazo zinataka 'kuungana'?

kwanza watu wenyewe wanasumbuliwa na njaa. badala ya kuweka maguvu kupigana na njaa wanaenda kununua vifaru. au ndo %s za wakubwa?
 
Hiki ndicho kisiwa ambacho wakenya wamekoroma vibaya mno, wanawakoromea waganda ati wagandwa wanawanyan'ganya. nimeamini ardhi ni mali kubwa kule kenya....kisiwa kidogoooo.

pamoja na kwamba kama tungeangalia huko, uganda ina nguvu sana. na ina wanajeshi 50,000, wakati kenya wana wanajeshi hata 30,000 hawajafika, tz ni kama 30,000. not exactly. sisi wa east africa kupigana sio vizuri, lakini hiki kisiwa kimeweka tension kubwa sana kwa hawa wenzetu.

kenya wanajua kuwa wana asilimia 6% tu ya ziwa victoria, wanavua sana samaki kuliko nchi hizi tatu hata hivyo, na wanalitumia vilivyo, hivyo, ni rahisi hata sisi kuibiwa visiwa vingine kama hatutakuwa makini kule mipakani na kenya. ni vizuri doria za tz ziendelee na ziwe makini

Mwana wa Mungu, udogo wa kisiwa sio hoja, hapo kama kweli hicho kisiwa ni cha Kenya na wakakubali Uganda wakichukue, kumbuka na mipaka pia itaathirika na kupunguza eneo la ziwa upande wa Kenya.

Tukija kuwa wanavua sana kuliko TZ na UG yawezekana, wakati sisi tunapiga usingizi, wanavuna rasilimali zetu hata kwa kuvuka mipaka. Niliwahi shuhudia magari yalikuwa yanavusha Sato na Sangara toka TZ kwenda Kenya kupitia mpaka wa Sirari/Isebania na ule mpaka mwingine uko Shirati. Hivyo kama walikuwa wanaweza kuuza Tanzanite iliyotoka Mererani na kuingizwa kwao, kwanini washindwe kupata samaki toka TZ na UG?.

Kuhusu vifaru upo uwezekano vilikuwa vinaenda Sudan ya Kusini, Kenya hawawezi kubali hilo wakati wao ni wasuluhishi.
 
Mwana wa Mungu, udogo wa kisiwa sio hoja, hapo kama kweli hicho kisiwa ni cha Kenya na wakakubali Uganda wakichukue, kumbuka na mipaka pia itaathirika na kupunguza eneo la ziwa upande wa Kenya.

Tukija kuwa wanavua sana kuliko TZ na UG yawezekana, wakati sisi tunapiga usingizi, wanavuna rasilimali zetu hata kwa kuvuka mipaka. Niliwahi shuhudia magari yalikuwa yanavusha Sato na Sangara toka TZ kwenda Kenya kupitia mpaka wa Sirari/Isebania na ule mpaka mwingine uko Shirati. Hivyo kama walikuwa wanaweza kuuza Tanzanite iliyotoka Mererani na kuingizwa kwao, kwanini washindwe kupata samaki toka TZ na UG?.

Kuhusu vifaru upo uwezekano vilikuwa vinaenda Sudan ya Kusini, Kenya hawawezi kubali hilo wakati wao ni wasuluhishi.


Mfumwa,

Migingo islands are in Kenya, check google earth Hapa
 
Last edited:
Huwa unalipwa kutibua hizi mada zilizopitwa na wakati???
Hawa ni wale wakiona gazeti hata ile ya zamani wanaisoma tu kama 'breaking news' vile.Afu wanatembea mitaani na 'confidence' wazimu wakipigia wenzao stori za ajab eti jinsi ndege ya malaysia ilipotea ikiwa angani jana.Ole wako ukijaribu tu kuleta ubishi!
 
Hawa ni wale wakipata gazeti hata ile ya zamani wanaisoma tu kama 'breaking news' vile.Afu wanatembea mitaani na 'confidence' wazimu wakipigia wenzao stori za ajab eti jinsi ndege ya malaysia ilipotea ikiwa angani jana.Ukijaribu tu kuleta ubishi,ole wako!
kimya mungiki
 
teh teh teh yaani nikisoma comments za toka 2009,nafa tu kicheko, yaani uozo ni ule ule tu, licha ya muda uliopita. Majanga tupu. Hivi wakenya nauliza : nani katupa 6% ya L. Victoria? Kwa nini watu walalamike tunapowazidi kwa viwanda vya samaki?? It's all about the quality, not the size....
 
teh teh teh yaani nikisoma comments za toka 2009,nafa tu kicheko, yaani uozo ni ule ule tu, licha ya muda uliopita. Majanga tupu. Hivi wakenya nauliza : nani katupa 6% ya L. Victoria? Kwa nini watu walalamike tunapowazidi kwa viwanda vya samaki?? It's all about the quality, not the size....

Umeona eeh! Mijitu kutwa kulalamika kuhusu hiki, kuhusu kile, wakati sisi tunatumia vizuri kidogo tulichonacho lakini tunatawala ukanda huu wote.
 
katika maswala ya mahusiano ya kimataifa, kuna mambo mengi ambayo yanaweza kuonekana madogo kwa juu lakini yakapewa na umuhimu mkubwa.

Hapa mgogoro ni mkubwa kuliko kisiwa, ni kuhusu nani ana kifua kikubwa, ni kuhusu nani hawezi kurudi nyuma, ni kuhusu nani anaweza kuweka precedent kwa madai ya baadaye, na kadhalika.

Kwa hiyo kuuangalia mgogoro huu kama wa kisiwa hiki kidogo tu kutakuwa kunaikosa ile picha kubwa.
Tupe picha kubwa Kiranga
 
Back
Top Bottom