Nahitaji Vifaa vya Ujenzi

Mazingira

JF-Expert Member
May 31, 2009
1,833
298
Wakuu kwa wale wenye uzoefu katika shughuli za ujenzi hebu tusaidiane hapa. Nahitaji kujua wapi naweza kununua nondo imara kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja na bei yake ikoje kwa tani (eg za mm 8, 12 na 16). Je kweli kokoto nyeupe za mawe hazifai mpaka zile nyeusi tu za Lugoba na Msolwa? Je naweza kupata wapi tofali imara za concreate au vibrated? Bei zake zikoje?
Natanguliza shukrani zangu wakuu.
 
Wakuu hebu tusaidiane jamani hapa kwa wenye uzoefu au wenye kujua haya mambo ya ujenzi.
 
Wakuu kwa wale wenye uzoefu katika shughuli za ujenzi hebu tusaidiane hapa. Nahitaji kujua wapi naweza kununua nondo imara kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja na bei yake ikoje kwa tani (eg za mm 8, 12 na 16). Je kweli kokoto nyeupe za mawe hazifai mpaka zile nyeusi tu za Lugoba na Msolwa? Je naweza kupata wapi tofali imara za concreate au vibrated? Bei zake zikoje?
Natanguliza shukrani zangu wakuu.

Bei ya nondo i Tsh 1400,000 per ton haijalishi ni size gani,tofauti itakuwa ni idadi,kokoto za msolwa ni nzuri na ndizo recomended ila inategemea unataka kujenga gorofa la ukubwa gani kama ni la kuishi unaweza tumia hata nyeupe kama ni la bishara na unategemea ni zaidi ya gorofa mbili ni bora utumie za msolwa.Ukihitaji hizo kokoto ni PM nondo nenda pale KAMAKA Tabata opp. Sita steel
 
Wakuu kwa wale wenye uzoefu katika shughuli za ujenzi hebu tusaidiane hapa. Nahitaji kujua wapi naweza kununua nondo imara kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja na bei yake ikoje kwa tani (eg za mm 8, 12 na 16). Je kweli kokoto nyeupe za mawe hazifai mpaka zile nyeusi tu za Lugoba na Msolwa? Je naweza kupata wapi tofali imara za concreate au vibrated? Bei zake zikoje?
Natanguliza shukrani zangu wakuu.

Bei ya nondo i Tsh 1400,000 per ton haijalishi ni size gani,tofauti itakuwa ni idadi,kokoto za msolwa ni nzuri na ndizo recomended ila inategemea unataka kujenga gorofa la ukubwa gani kama ni la kuishi unaweza tumia hata nyeupe kama ni la bishara na unategemea ni zaidi ya gorofa mbili ni bora utumie za msolwa.Ukihitaji hizo kokoto ni PM nondo nenda pale KAMAKA Tabata opp. Sita steel
 
Wakuu kwa wale wenye uzoefu katika shughuli za ujenzi hebu tusaidiane hapa. Nahitaji kujua wapi naweza kununua nondo imara kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja na bei yake ikoje kwa tani (eg za mm 8, 12 na 16). Je kweli kokoto nyeupe za mawe hazifai mpaka zile nyeusi tu za Lugoba na Msolwa? Je naweza kupata wapi tofali imara za concreate au vibrated? Bei zake zikoje?
Natanguliza shukrani zangu wakuu.

Bei ya nondo i Tsh 1400,000 per ton haijalishi ni size gani,tofauti itakuwa ni idadi,kokoto za msolwa ni nzuri na ndizo recomended ila inategemea unataka kujenga gorofa la ukubwa gani kama ni la kuishi unaweza tumia hata nyeupe kama ni la bishara na unategemea ni zaidi ya gorofa mbili ni bora utumie za msolwa.Ukihitaji hizo kokoto ni PM nondo nenda pale KAMAKA Tabata opp. Sita steel.Tofali bei zake ni 800-1300 vibrated
 
Bei ya nondo i Tsh 1400,000 per ton haijalishi ni size gani,tofauti itakuwa ni idadi,kokoto za msolwa ni nzuri na ndizo recomended ila inategemea unataka kujenga gorofa la ukubwa gani kama ni la kuishi unaweza tumia hata nyeupe kama ni la bishara na unategemea ni zaidi ya gorofa mbili ni bora utumie za msolwa.Ukihitaji hizo kokoto ni PM nondo nenda pale KAMAKA Tabata opp. Sita steel.Tofali bei zake ni 800-1300 vibrated

Manyusi nashukuru sana kwa taarifa hii. Ni nyumba ya kusihi just kagorofa kamoja tu. Kwahiyo nyeupe zinafaa, hizi ni habari njema maana itapunguza gharama pia. Nikiwa tayari kwa kokoto nitakuPM. Pia kuna thread moja kwenye jukwaa hili titled "Gharama za kujenga nyumba" uliahidi kutupa mfano wa finishing wa kazi zenu tunasubiri ili tukipenda tukutafute tukupe kazi.
 
Mazingira kuhusu nondo jaribu pia pale Buruguni karibia na mataa, bei zake ukaulizie pale pale kutokana na milimita. Usisahau kujumlisha na gharama ya usafiri kutoka sehemu utakaponunua nondo kwenda site na hiyo ni per trip.
 
Mazingira kuhusu nondo jaribu pia pale Buruguni karibia na mataa, bei zake ukaulizie pale pale kutokana na milimita. Usisahau kujumlisha na gharama ya usafiri kutoka sehemu utakaponunua nondo kwenda site na hiyo ni per trip.

Asante dada Belinda. Hizo nondo ulishawahi kuzitumia na ukajua ubora wake? Maana naambiwa kuna nondo zingine zinazotengenezwa TZ zinavunjika kama kuni. Hivi kuna watu wanao-import nondo kutoka nje zenye ubora zaidi?
 
Asante dada Belinda. Hizo nondo ulishawahi kuzitumia na ukajua ubora wake? Maana naambiwa kuna nondo zingine zinazotengenezwa TZ zinavunjika kama kuni. Hivi kuna watu wanao-import nondo kutoka nje zenye ubora zaidi?

Nondo fake zipo,u have to be careful. mafundi wazoefu wanazijua.
 
tofauti ya kokoto nyeusi na nyeupe ktk uimara ni nini?kwa jengo la ghorofa moja la makazi kuna ulazima ganiwa kutumia kokoto nyeusi
 
tofauti ya kokoto nyeusi na nyeupe ktk uimara ni nini?kwa jengo la ghorofa moja la makazi kuna ulazima ganiwa kutumia kokoto nyeusi

mkuu NM.... kokoto nyeusi zinajulikana kama granite aggregates na kokoto nyeupe zinajulikana kama coral agreggates ..... concrete (zege) huwa designed kutokana na uzito au uimara strength katika matumizi (concrete grade) ...... grade nyingi za structural concrete huhitaji kokoto nyeusi ... kama vile concrete grade 30 C30 AU GRADE 28 hii ni kwa ajili ya slabs, columns, beams and foundation pads and strips ...kokoto nyeupe kama inavyoitwa ubuyu mtaani ni kokoto ambayo haina nguvu na hutokana na mwamba uliokaribu na uwanda wa bahari yaani coral reef na mara nyingi huwa na composition ya chunvi hivyo kutokuwa na mahusiano mazuri sana na cement .... cement ndiyo kiungo kikubwa cha structural concrete members hivyo basi kama cement haitaungana vilivyo pamoja na kokoto, mchanga na nondo hilo jengo halitakuwa imara .... kukoto nyeupe hutumika kama zege chafu (blinding) na zege ambalo halihitaji reinforcement (nondo) yaani plain concrete

@mazingira ... kwa ujumla tofali unalouliza ni vibrated concrete block .... hili utalipata kwa supplier anayetengeneza tofali 25 mpaka 28 kwa kutumia mfuko mmoja wa kilo 50 za cement lililofanyiwa curing ( kumwagiwa maji ) kwa siku saba ... hivyo basi kuwa na TBS ya kiwango cha 3.5-5KN (kilo newtons)
 
Mazingira u as client hustahili kurecomend strength ya material so far kuna watu maalum kwa ajili hiyo...kwani Eng aliyekufanyia calculation kwenye structure hakusuggest aina ya aggregate unazostahili kutumia! Pia suala la nondo si kununua tu kwa hisia ni lazima kutumia wataalam kulingana na jengo lako kwa kua kuna Mild steel na High Tensile ambazo zote hutumia kulingana na maelekezo ya Eng!
 
mkuu NM.... kokoto nyeusi zinajulikana kama granite aggregates na kokoto nyeupe zinajulikana kama coral agreggates ..... concrete (zege) huwa designed kutokana na uzito au uimara strength katika matumizi (concrete grade) ...... grade nyingi za structural concrete huhitaji kokoto nyeusi ... kama vile concrete grade 30 C30 AU GRADE 28 hii ni kwa ajili ya slabs, columns, beams and foundation pads and strips ...kokoto nyeupe kama inavyoitwa ubuyu mtaani ni kokoto ambayo haina nguvu na hutokana na mwamba uliokaribu na uwanda wa bahari yaani coral reef na mara nyingi huwa na composition ya chunvi hivyo kutokuwa na mahusiano mazuri sana na cement .... cement ndiyo kiungo kikubwa cha structural concrete members hivyo basi kama cement haitaungana vilivyo pamoja na kokoto, mchanga na nondo hilo jengo halitakuwa imara .... kukoto nyeupe hutumika kama zege chafu (blinding) na zege ambalo halihitaji reinforcement (nondo) yaani plain concrete

@mazingira ... kwa ujumla tofali unalouliza ni vibrated concrete block .... hili utalipata kwa supplier anayetengeneza tofali 25 mpaka 28 kwa kutumia mfuko mmoja wa kilo 50 za cement lililofanyiwa curing ( kumwagiwa maji ) kwa siku saba ... hivyo basi kuwa na TBS ya kiwango cha 3.5-5KN (kilo newtons)
asante sana,umenifumbua macho,nina kiwanja ila ni kidogo 650 sq,meters hivyo nina plan kuweka floor moja juu ili nibaki na nafasi ya kutosha watoto kucheza,car park etc.
hizi kokoto nyeupe ni rahisi sana kwangu kuzipata ziko karibu,ila kuna jamaa alikuwa akisema ni muhimu kupata kokoto nyeusi(he is a tipper driver)kutoka chalinze,swala likaja ktk bei yake,iko juuu mno.
kwa ushauri wako inaonekana hamna jinsi ya mbadala wa kujenga slab/floor kwa kutumia kokoto nyeupe,
mbona maghorofa ya wakoloni yapo mpaka leo,na walitumia chokaa na kokoto nyeupe e.g Daresalaam city council
 
tofauti ya kokoto nyeusi na nyeupe ktk uimara ni nini?kwa jengo la ghorofa moja la makazi kuna ulazima ganiwa kutumia kokoto nyeusi

Pia naambiwa kuwa huko Vijibweni, Kigamboni kuna kokoto nyekundu ambazo ni imara sana pia ukilinganisha na nyeupe. Sijui wataalamu wanatushauri vipi hapo.
 
Bei ya nondo ni Tsh 1400,000 per ton haijalishi ni size gani,tofauti itakuwa ni idadi,kokoto za msolwa ni nzuri na ndizo recomended ila inategemea unataka kujenga gorofa la ukubwa gani kama ni la kuishi unaweza tumia hata nyeupe kama ni la bishara na unategemea ni zaidi ya gorofa mbili ni bora utumie za msolwa.Ukihitaji hizo kokoto ni PM nondo nenda pale KAMAKA Tabata opp. Sita steel.Tofali bei zake ni 800-1300 vibrated

Manyusi, bei hii ya nondo ni zile zinazotengenezwa Tanzania au za kutoka nje ya nchi?
 
Mazingira u as client hustahili kurecomend strength ya material so far kuna watu maalum kwa ajili hiyo...kwani Eng aliyekufanyia calculation kwenye structure hakusuggest aina ya aggregate unazostahili kutumia! Pia suala la nondo si kununua tu kwa hisia ni lazima kutumia wataalam kulingana na jengo lako kwa kua kuna Mild steel na High Tensile ambazo zote hutumia kulingana na maelekezo ya Eng!

Mkuu huyu engineer wangu anaonekana tapeli fulani hivi na sasa simwamini tena ndo maana sasa nimeamua nitafute ushauri kwa wataalamu kama wewe hapa.
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Bei ya nondo i Tsh 1400,000 per ton haijalishi ni size gani,tofauti itakuwa ni idadi,kokoto za msolwa ni nzuri na ndizo recomended ila inategemea unataka kujenga gorofa la ukubwa gani kama ni la kuishi unaweza tumia hata nyeupe kama ni la bishara na unategemea ni zaidi ya gorofa mbili ni bora utumie za msolwa.Ukihitaji hizo kokoto ni PM nondo nenda pale KAMAKA Tabata opp. Sita steel

Samahani kuna mtu ambaye anaweza kujua nondo za size 12 zitakuwa ngapi ktk tone moja? ili kuweza kukukisia labda nahitaji nondo 100 size 12 ninunue tone ngapi?
 
Back
Top Bottom