Bornvilla
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 924
- 271
Maonesho ya vifaa na zana za
kivita kama vifaru,makombora
na maroketi pia na
makomandoo katika sherehe
za kuadhimisha miaka 50 ya
uhuru wa Tanzania bara siku ya tarehe 9/12/2011. Kwa
watu wa kawaida
walilichukulia kawaida! Lakini
kwa upande wangu mimi
lilikuwa tukio zito na lenye
tafsiri nzito. Kutokana na kuwepo kitisho cha serikali
kupinduliwa ndani ya si
miamoja,hilo lilikuwa taarifa
kwa wapangaji wa mpango
huo kuwa serikali iko imara na
vifaa na wataalam vipo na wapo. Anayetaka aje
tutamshughulikia. Serikali
imetoa onyo na kuwatoa hofu
wananchi kuwa vifaa vya
kisasa vipo na uwezo wa
kupambana na adui wa ndani au wa nje upo. Pia kwa
upande wa Mh.Rais Kikwete ni
kuwa alidhamiria kutuonesha
kuwa kweli yeye ndio amiri
jeshi mkuu wa majeshi japo
inajulikana. Kwakuwa hadi sasa serikali ipo katika
uchunguzi juu ya kitisho
kilichotolewa hivi karibuni
kuwa serikali iachie madaraka
ndani ya siku miamoja,basi
hilo lilikuwa onyo.Na hiyo ndio ilikuwa tafsiri yangu juu ya
zana za kivita na
makomandoo.
kivita kama vifaru,makombora
na maroketi pia na
makomandoo katika sherehe
za kuadhimisha miaka 50 ya
uhuru wa Tanzania bara siku ya tarehe 9/12/2011. Kwa
watu wa kawaida
walilichukulia kawaida! Lakini
kwa upande wangu mimi
lilikuwa tukio zito na lenye
tafsiri nzito. Kutokana na kuwepo kitisho cha serikali
kupinduliwa ndani ya si
miamoja,hilo lilikuwa taarifa
kwa wapangaji wa mpango
huo kuwa serikali iko imara na
vifaa na wataalam vipo na wapo. Anayetaka aje
tutamshughulikia. Serikali
imetoa onyo na kuwatoa hofu
wananchi kuwa vifaa vya
kisasa vipo na uwezo wa
kupambana na adui wa ndani au wa nje upo. Pia kwa
upande wa Mh.Rais Kikwete ni
kuwa alidhamiria kutuonesha
kuwa kweli yeye ndio amiri
jeshi mkuu wa majeshi japo
inajulikana. Kwakuwa hadi sasa serikali ipo katika
uchunguzi juu ya kitisho
kilichotolewa hivi karibuni
kuwa serikali iachie madaraka
ndani ya siku miamoja,basi
hilo lilikuwa onyo.Na hiyo ndio ilikuwa tafsiri yangu juu ya
zana za kivita na
makomandoo.