ANKOJEI
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 996
- 742
ni kesho maeneo ya mhasib house, vipanga wa mahesab ya biashara wanakabidhiwa majembe yao katika ngaz mbalimbal gumzo kubwa likiwa ni wale waliofaulu mtihan mgumu wa hesab katika final stage.My take..serikal inauhaba wa wahasibu lakin pia hawana mpango mahus wa ku-absorb wahasib kama wanavofanya kwa waalim na madaktari.ndio mana mahesab ya serikal yamejaa hat mashaka.