Vidume mtremko!!

Mkeshahoi

JF-Expert Member
Jan 4, 2009
2,469
281
Wadau..
inakuaje siku hizi baadhi ya wanaume(mabachela)..hasa waliojaaliwa kismati(mvuto au chochote kile) cha kupendwa... wankuwa wavivu wa kufanya kazi kwa bidii.. wanakuwa tegemezi ..hasa kiuchumi kwa wanawake?!

Wengine huwa jasiri hadi kuandika mitandaoni kujinadi kwa sifa ya kuwa na uwezo wa ku-care(wakati hana mbele wala nyuma)...!!

Binafsi..yanisikitihsha hali hii.. naamini mwanaume yabidi ujitengenezee nafasi yako mwenyewe katika jamii(wenye hekima zao wanatambua)!!:embarrassed1:
 
Hata waliooa.sio mabachela tu.Wengi siku hizi ni wanaume BUSHOKE.Wanataka kulishwa.Na wanamuziki wa kikongo ndio wamezidi
 
Wadau..
inakuaje siku hizi baadhi ya wanaume(mabachela)..hasa waliojaaliwa kismati(mvuto au chochote kile) cha kupendwa... wankuwa wavivu wa kufanya kazi kwa bidii.. wanakuwa tegemezi ..hasa kiuchumi kwa wanawake?!

Wengine huwa jasiri hadi kuandika mitandaoni kujinadi kwa sifa ya kuwa na uwezo wa ku-care(wakati hana mbele wala nyuma)...!!

Binafsi..yanisikitihsha hali hii.. naamini mwanaume yabidi ujitengenezee nafasi yako mwenyewe katika jamii(wenye hekima zao wanatambua)!!:embarrassed1:

Ukiona hivyo na uanze kutia shaka sana na uanaume wa mtu huyo!...Aidha anazidiwa na hormones za kike au ana biashara zingine haramu...Tangu lini mwanaume akajinadi bana?
 
Ukiona hivyo na uanze kutia shaka sana na uanaume wa mtu huyo!...Aidha anazidiwa na hormones za kike au ana biashara zingine haramu...Tangu lini mwanaume akajinadi bana?
Hata humu JF wapo sana.Ila nsiniquote vibaya,sijasema wote,nimesema baadhi wapo humu JF.
 
Please!!!!!!!!! Of all the places? Not JF!

ZD: kuna watu wameshatangaza nia?
Sio hivyo.Lakini hata wewe ni shahid jinsi post za watu zinavyokuwaga ,kibushokebushoke tu.Haina hata haja ya kuuliza,mtu utamjua tu kama ni wa KIUME au MWANAUME.Sio wote ni magreti sinkaz wengine ni magreti stinkas
 
Wadau..
inakuaje siku hizi baadhi ya wanaume(mabachela)..hasa waliojaaliwa kismati(mvuto au chochote kile) cha kupendwa... wankuwa wavivu wa kufanya kazi kwa bidii.. wanakuwa tegemezi ..hasa kiuchumi kwa wanawake?!

Wengine huwa jasiri hadi kuandika mitandaoni kujinadi kwa sifa ya kuwa na uwezo wa ku-care(wakati hana mbele wala nyuma)...!!

Binafsi..yanisikitihsha hali hii.. naamini mwanaume yabidi ujitengenezee nafasi yako mwenyewe katika jamii(wenye hekima zao wanatambua)!!:embarrassed1:

Ni kizazi kisicho na mwelekeo!

Hata uvaaji wa suruali wa vijana wa kiume unaacha maswali mengi kichwani mwangu: BUT on the other hand - Wanawake wameishiwa aibu - wanatongoza vijana wakiume than ever before - Jamii nzima nadhani imebadilika na imehalalisha kila kitu
 
Sio hivyo.Lakini hata wewe ni shahid jinsi post za watu zinavyokuwaga ,kibushokebushoke tu.Haina hata haja ya kuuliza,mtu utamjua tu kama ni wa KIUME au MWANAUME.Sio wote ni magreti sinkaz wengine ni magreti stinkas
Hahaha naona leo umeamua kuwatolea uvivu!
 
Ukiona hivyo na uanze kutia shaka sana na uanaume wa mtu huyo!...Aidha anazidiwa na hormones za kike au ana biashara zingine haramu...Tangu lini mwanaume akajinadi bana?

Veterani ..upo?! au ulienda tangaza uvuvuzela jimboni?!!:smile-big:
 
Wadau..
inakuaje siku hizi baadhi ya wanaume(mabachela)..hasa waliojaaliwa kismati(mvuto au chochote kile) cha kupendwa... wankuwa wavivu wa kufanya kazi kwa bidii.. wanakuwa tegemezi ..hasa kiuchumi kwa wanawake?!

Wengine huwa jasiri hadi kuandika mitandaoni kujinadi kwa sifa ya kuwa na uwezo wa ku-care(wakati hana mbele wala nyuma)...!!

Binafsi..yanisikitihsha hali hii.. naamini mwanaume yabidi ujitengenezee nafasi yako mwenyewe katika jamii(wenye hekima zao wanatambua)!!:embarrassed1:

Si wanataka kuolewa na wanawake ila wajiandae kulea watoto au hujui siku hizi wanawake nao wana wowa:becky::becky::becky::becky:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom