Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Wadau..
inakuaje siku hizi baadhi ya wanaume(mabachela)..hasa waliojaaliwa kismati(mvuto au chochote kile) cha kupendwa... wankuwa wavivu wa kufanya kazi kwa bidii.. wanakuwa tegemezi ..hasa kiuchumi kwa wanawake?!
Wengine huwa jasiri hadi kuandika mitandaoni kujinadi kwa sifa ya kuwa na uwezo wa ku-care(wakati hana mbele wala nyuma)...!!
Binafsi..yanisikitihsha hali hii.. naamini mwanaume yabidi ujitengenezee nafasi yako mwenyewe katika jamii(wenye hekima zao wanatambua)!!:embarrassed1:
inakuaje siku hizi baadhi ya wanaume(mabachela)..hasa waliojaaliwa kismati(mvuto au chochote kile) cha kupendwa... wankuwa wavivu wa kufanya kazi kwa bidii.. wanakuwa tegemezi ..hasa kiuchumi kwa wanawake?!
Wengine huwa jasiri hadi kuandika mitandaoni kujinadi kwa sifa ya kuwa na uwezo wa ku-care(wakati hana mbele wala nyuma)...!!
Binafsi..yanisikitihsha hali hii.. naamini mwanaume yabidi ujitengenezee nafasi yako mwenyewe katika jamii(wenye hekima zao wanatambua)!!:embarrassed1: