machoni kwangu nikiagalia vitu kama karatasi nyeupe,angani au kwenye maji,naonakunavidoti vyeusi.alafu macho yangu naona mazito sana nifanyeje sasa.shule ya boarding niliyosoma ilikua maharage only
nenda kwa daktari wa macho akupime. maharage si ishu maana watu kibao tuliosoma enzi za mwalimu za kula maharage kwa kwenda mbele macho yako poa kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.