aisee, tuna mawazo very constructive these days... anyway, ukichanganya pilipili na ugoro waweza pata a local concoction yenye similar effects
Haapo chacha! Una-sniff; unakunywa; ama unaipaka ile habar?
aisee, tuna mawazo very constructive these days... anyway, ukichanganya pilipili na ugoro waweza pata a local concoction yenye similar effects
Hahaha! Konnie muambie nguruwe apite, mkuki wangu nimemuazima Kova
atajiwekeaje mwenyewe bwana!!!!!!Nasema ni mwanamke sasa anataka kumwekea mwanaume au anataka kujiwekea mwenyewe?.
aisee, tuna mawazo very constructive these days... anyway, ukichanganya pilipili na ugoro waweza pata a local concoction yenye similar effects
Atawashwa afu akose wa kumkuna......si unajua siku hizi kaachika eeh?
Dawa ni kupitia jando na kufundwa mengine yote kutapeliana.