zaratustra
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 848
- 223
Yanga hamta panda ndege labda mpaka mwaka 2014 labda mpande mkiwa mnaenda kagera kucheza na Kagera sugar...hahahahah
Unaonyesha jinsi ulivyo mshamba! Kupanda ndege ndo umeona ujaaaaaaaaaaaaanja! Mbona Atletico wamekuja na basi toka kwao Burundi nao ni mabingwa wa nchi yao! Tuone hicho kitimu chako cha wanamuziki toka DRC kama kitapanda ndege mara ngapi safari hii!
BTW, una habari kuwa Mbiyavanga Nkanu na Lino Musombo wamehamia FM Academia kwenda kunengua?