Mkendo
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,132
- 2,223
Mbona hamkuchukulia hatua mlijua kabisa Mzee wa Msoga naye yumo.Tulikanusha kuwa Lowassa si fisadi sakata la Richmond. Nyinyi jee?
Mbona hamkuchukulia hatua mlijua kabisa Mzee wa Msoga naye yumo.Tulikanusha kuwa Lowassa si fisadi sakata la Richmond. Nyinyi jee?
Mbona hamkuchukulia hatua mlijua kabisa Mzee wa Msoga naye yumo.
skilizeni tena hii clip ndio mtajua kama muhongo katajwa au la
Hajafanya vibaya huyo mama maana yeye alikuwa anajitetea upande wake,kuna mtu ameleta uzi hapa anakanusha kuwa muhongo hakutajwaKosa nikutoa maelekezo.....Kutoa maelekezo ya hovyo? Au kuifichua siri? sijaelewa mnisaidie wadau
Punguza Munkari sisi sio watu wa Matusi kama ungekuwa umesoma ata kuandika Kiswahili kinakushinda inaonyesha ni jinsi gani upeo wako ulipoishia ,mjinga anapenda kujifunza lakini mpumbavu yeye utoka mbele na kujikweza kama wewe.Kuwachishwa uwaziri mkuu hatua ndogo hiyo?
Amma kwa hakika wewe shule ulienda kusomea ujinga.
Ndiyo, kwani prof. alimwita na kumtamkia? Ujumbe umetoka kwenye "sim ya prof. Muhongo", siyo kwa Prof. Muhongo.Anasema "nafikiri imetoka kwa..." Ina maana hana uhakika?
harafu hata mi sijaona uhusiano wa hii kauli na kuvujisha siri za waziri mkuu. nadhani katika utendaji wake tuu aliamua zianze kufanya kaziSioni tatizo lolote kuhusu Mhongo kutoa amri kuwa within 24 Hours hizo meter zifanye kazi.
Mlitaka asitowe hayo maelekezo?
Punguza Munkari sisi sio watu wa Matusi kama ungekuwa umesoma ata kuandika Kiswahili kinakushinda inaonyesha ni jinsi gani upeo wako ulipoishia ,mjinga anapenda kujifunza lakini mpumbavu yeye utoka mbele na kujikweza kama wewe.
Sisi wajinga nyie wapumbavu,Mpumbavu uwa anashupaa aonekane anajua ,By Prof Kabudi.= hutoka
Unazidi kujihakikishia kuwa shule ulienda kusomea ujinga.