Watu wenye chuki,hata ukicheza mpira baharini watasema unawatimulia vumbiMbona inaonekana ya mda kuliko hiyo ya shetta
PARODY GROUPE L'FISHTA #SÉÉF HADA الصيف هذا [HASHTAG]#shetta[/HASHTAG] ft kcee_shikorobo
PARODY GROUPE L'FISHTA #SÉÉF HADA الصيف هذا [HASHTAG]#shetta[/HASHTAG] ft kcee_shikorobo
Ni kweli inaweza kuwa mrefu lakini mbona hata ya shetta pia ni ya mda mrefu! Nadhani hoja yako ni kwamba ni ya mda mrefu zaidi kuliko ya shetta na kama hivyo ndivyo basi ututhibitishie kuwa ni ya mda mrefu zaidi kuliko ile ya shetta!Ebu mwambieni shetta atujibu hili swali,mbona hii ni ya muda mrefu?
Mkiambiwa ukweli mnasema chuki haya ngoja tuwaache.Watu wenye chuki,hata ukicheza mpira baharini watasema unawatimulia vumbi
Sweef Haadhaa.Si tunasema ""shikolobo"" pls wao wanaitaje
Unaweza ukantmia Whatsaap??Sweef Haadhaa.
Hapana siwezi tafadhali.Unaweza ukantmia Whatsaap??