Hii ni desturi ya hili kabila kuiba mawindo ya simba, wamekuwa wakifanya hivi kwa miaka mingi sana. Wanacho kifanya ni kuwazubaisha Simba kwa muda na kuiba mawindo ila inahitaji ujasiri waajabu sana.hii nimeipenda.Watanzania tungekuwa na roho kama hizi tusingekubali kuwa maskini,kuona nchi inaliwa,tunatunza mafisadi lazima wangekuwa wameshakimbia nchi kitambo.
You think you've got some balls? Watch this.