Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,257
- 105,375
Kiranga,
Ukishakuwa na judgement tayari huwezi kutoa "fare reasoning". I would rather wait for the other side to let us know what conspired!!!! Wewe usha- conclude kabisa hata kabla ya kusikia the other side of the story!!
Usije ukasikia upande mwingine wa stori ukaanza kujuta na hizo hukumu zako. Usifanye dhambi ya kumhukumu Slaa kabla hujasikia yote.
Slaa kakanusha tuhuma? Anangoja nini, ujio wa pili wa Yesu ?