Njilembera
JF-Expert Member
- May 10, 2008
- 1,496
- 607
Kiranga si halali kabisa! Sidhani kuna mtu atakubishia hilo. Ila kuna jitu limeshaingia kwa jamii yetu, jamii yetu inapotea kimaadili. Hili linatisha. Lakini dawa yake ni lazima itafutwe, ila sio sasa! Tumeshikwa pabaya maana ni nani angeweza kuwaza kwamba mtu wa aina(caliber) ya Slaa angeweza kwenda that low! Lakini ukitazama ule upande wa pili, unaona nako ni matatizo tena pengine makubwa zaidi, maana yamekuwa ya kificho, huyu walau anasema!
Ila ni lazima twende nyuma na mbele - hivi inawezekana kweli Slaa hakujua Josephine ameolewa! Mhhhhh nafikiri sijafikiria vizuri na hao watoto alikuja nao kwake, aliwapata kwa nguvu za Roho Mt? Bwana tukubali yaishe, twende na mengine, it is extremely sad and I only hope Slaa WILL APOLOGIZE LATER FOR THIS SIN! Anataka kutuangusha!
Ila ni lazima twende nyuma na mbele - hivi inawezekana kweli Slaa hakujua Josephine ameolewa! Mhhhhh nafikiri sijafikiria vizuri na hao watoto alikuja nao kwake, aliwapata kwa nguvu za Roho Mt? Bwana tukubali yaishe, twende na mengine, it is extremely sad and I only hope Slaa WILL APOLOGIZE LATER FOR THIS SIN! Anataka kutuangusha!