[VIDEO] Presidents Kagame, Magufuli commit to strengthen ties

Mahusiano baina ya wananchi has always been good. Rwanda inatambua mchango wa Tanzania katika kuleta maendeleo ya nchi yetu. Hapa katikati kuna kamdudu kaliingilia kati lakini sasa nadhani we are back on the road. Kuna watu wenye nia mbaya (read jMali et la.) ambao walikuwa wanafurahia kuona uhusiano kati ya Rwanda na Tanzania ukiwa mbaya lakini kama ile nyimbo ya R.Kelly, "the storm is over". Hii miaka kumi ijayo, tutahakikisha tunaweka msingi mzuri so that vizazi vijavyo vya akina jMali visiweze kabisa kuturudisha nyuma.
Nyie mpambeni tu magufuli ili aingie mzimamzima mumfanyie uhuni wenu. Kwa ninavyowajua watusi, mnamsogeza karibu baada ya muda tutasikia. Magufuli ana uzuri/wema gani kwa paka kuliko museveni ? Museveni ni mjomba wenu, aliwaajiri Uganda mlipokuwa wakimbizi kule, paka alikuwa kiongozi mkubwa sana Uganda , kubwa zaidi, kama sio museveni, paka asingekuwa rais Rwanda. Aliwapa msaada wa kijeshi hadi mkaipata Rwanda, matokeo yake, paka alimgeuka mjomba wake walipokutana drc walipozidiana kete (wizi wa madini) na wakachapana sana. Sasa mdanganyeni magufuli na kama hana taarifa zenu vizuri amuulize Jakaya na Nkurunziza.
 
Nyie mpambeni tu magufuli ili aingie mzimamzima mumfanyie uhuni wenu. Kwa ninavyowajua watusi, mnamsogeza karibu baada ya muda tutasikia. Magufuli ana uzuri/wema gani kwa paka kuliko museveni ? Museveni ni mjomba wenu, aliwaajiri Uganda mlipokuwa wakimbizi kule, paka alikuwa kiongozi mkubwa sana Uganda , kubwa zaidi, kama sio museveni, paka asingekuwa rais Rwanda. Aliwapa msaada wa kijeshi hadi mkaipata Rwanda, matokeo yake, paka alimgeuka mjomba wake walipokutana drc walipozidiana kete (wizi wa madini) na wakachapana sana. Sasa mdanganyeni magufuli na kama hana taarifa zenu vizuri amuulize Jakaya na Nkurunziza.
eh ehe eh... taratibu! lete mpya, hizo zishapitwa na wakati, hauna habari za wachawi wenzako? duh... shida kweli, ila shukuru Mungu uko huko kwa wauwaji wenzenu Burundi... ungekuwa Bongo au huku kwetu, ungejuta kuzaliwa na hiyo michuki yako!
 
eh ehe eh... taratibu! lete mpya, hizo zishapitwa na wakati, hauna habari za wachawi wenzako? duh... shida kweli, ila shukuru Mungu uko huko kwa wauwaji wenzenu Burundi... ungekuwa Bongo au huku kwetu, ungejuta kuzaliwa na hiyo michuki yako!
Mimi sipo kama Patrick Karegeya au Kayumba Nyamwasa. I am well trained to tackle any threat. Hamuwezi kuniua kijingakijinga, upumbavu wenu mnawafanyia haohao wasovu. Muulize paka hana hamu na Burundi. Alishaambiwa akiendelea na upuuzi wake kilichomkuta IDD Amin ni cha mtoto. Anajua muziki wa cndd-FDD. Lakini sina mashaka na uweredi, uelewa na busara za watanzania. Wanajua cha kufanya siku paka akizingua.
 
Mimi sipo kama Patrick Karegeya au Kayumba Nyamwasa. I am well trained to tackle any threat. Hamuwezi kuniua kijingakijinga, upumbavu wenu mnawafanyia haohao wasovu. Muulize paka hana hamu na Burundi. Alishaambiwa akiendelea na upuuzi wake kilichomkuta IDD Amin ni cha mtoto. Anajua muziki wa cndd-FDD. Lakini sina mashaka na uweredi, uelewa na busara za watanzania. Wanajua cha kufanya siku paka akizingua.
safi! hebu tukumbushe tena, kwenu ni Tabora na vyuma ndio jina la ukoo? kadanganye wengine! hizo hasira zisizo na sababu ndio zinawafanya mmalizane huko Burundi, kila la kheri
 
safi! hebu tukumbushe tena, kwenu ni Tabora na vyuma ndio jina la ukoo? kadanganye wengine! hizo hasira zisizo na sababu ndio zinawafanya mmalizane huko Burundi, kila la kheri
Kwetu ni Tabora tena naishi jirani na msomali Aden Rage. Najulikana sana kwa jina hilo hata shule nilitumia jina hilo. Mbona hapa tabora wengi wananijua?
 
Huyu jamaa ana hibarnate mpaka 2025..hahaha. platform yake imeenda na maji..hahaha
ahahhaa wazee wa sumu sasa naona mmepumua baada ya kuona JPM amekuwa swahiba na PK. Lakini kumbuka jamaa hazenguliwi. Kagame akimzingua naye anamzingua kweli zaidi ya Jakaya.....lol
 
ahahhaa wazee wa sumu sasa naona mmepumua baada ya kuona JPM amekuwa swahiba na PK. Lakini kumbuka jamaa hazenguliwi. Kagame akimzingua naye anamzingua kweli zaidi ya Jakaya.....lol

Hahahahaha....mmebaki na hizo za hazinguliwi...lakini ninafurahi sana manake sasa tuna focus na mambo ya maendeleo sio kushinda humu tukitoa sumu za huyu interahamwe.
 
By: TIMES REPORTER
  • PUBLISHED: July 02, 2016

1467419184kagame-magufuli.jpg

Presidents Kagame, Magufuli and First Ladies Jeannette Kagame and Janeth Magufuli in Dar es Salaam, yesterday. (Village Urugwiro)


President Paul Kagame and his Tanzanian counterpart, President John Pombe Magufuli have pledged to strengthen ties between Rwanda and Tanzania.

The two Heads of State made the commitment during a bilateral meeting, yesterday, in Tanzania’s business capital Dar es Salaam, where President Kagame had been invited on a state visit.





Accompanied by the First Lady Jeannette Kagame, the President was received by his Tanzanian counterpart, Magufuli, and the First Lady Janeth Magufuli.

The reciprocal visit started with both Presidents having a bilateral meeting, where they committed to strengthen ties in key sectors like aviation to accelerate development for both nations. This was followed by signing of a Memorandum of Understanding on key areas of cooperation between the two countries.

“Our visit, and the agreements signed represent our desire for continued partnership, and closer collaboration on issues of mutual interest in all sectors. The President and I have had good discussions, building on the spirit of friendship, strong historical ties, and the future aspirations shared by Tanzania and Rwanda. We will continue to strengthen our longstanding bilateral relationship, and work more closely together to create more opportunities, and increased prosperity for our citizens, as well as the greater East African region,” President Kagame said during a joint press briefing after the meeting.





On his part, President Magufuli said his government will continue to take measures to facilitate the efficiency of the Dar es Salaam port.

“Our two countries enjoy good relations based on common mutual relations and respect. Rwanda is our best friend. We are committed to ensure the transport infrastructure project is implemented in a timely manner,” Magufuli said.

Last month, the two countries agreed to form a joint implementation committee (JIC) to closely monitor important areas agreed during the 14th session of the Joint Permanent Commission (JPC) following a directive by President Kagame and Magufuli after the latter’s visit to Rwanda in April.





Meanwhile, President Kagame also officiated at the opening of the 40th Dar es Salaam International Trade Fair (DITF) at the Saba Saba Grounds.

The President was the keynote speaker and congratulated the Tanzania Trade Development Authority for attracting a record number of exhibitors, including more than 15 Rwandan companies.

Kagame noted that this confirms that Tanzanians are eager to do business and are working hard to develop their country and the region.

“Rwandans share this commitment. Our visit here is an occasion to learn how we can do more business together and take our countries forward. Tanzania and Rwanda are bound by more than history and the border we share. We also have a common purpose and future as members of the East African Community and the Central Corridor. The people of our region have the drive and dynamism, and they can only benefit from the vast opportunities, that come with faster and deeper integration,” President Kagame said.





The President and the First Lady were also hosted to a State Banquet where President Kagame hailed the spirit of goodwill that defines the relationship between Rwanda and Tanzania, noting that beyond geographical proximity, the two countries share a common history, and the values of hard work, respect, and cooperation.

“We both seek stability, prosperity, and dignity for our nations and our continent. May the friendship between Rwanda and Tanzania continue to flourish, in the years to come,” Kagame added.

President Kagame is the second Head of State to visit Tanzania since President Magufuli was sworn in last November. The first was Vietnamese President Truong Tan Sang.

editorial@newtimes.co.rw

msaada
nimejaribu kuipakua iyo video ya kagame akiwasili nimeshindwa ,,,naomba msaada wa kuipata kwa yoyote anayejua tafadhali
 
Back
Top Bottom