piga kweli kweli huyoPigaaa huyooo!!!
kivipi yani?Daudi Mchambuzi naona leo umeingia mkenge
Sarafina..BURN! BURN BURN!*2...BURN MOSCOW!...Aliyeelewa hayo maandishi anitafsirie.
Kwani ni wapi mtoa post kasema ni trafic wa tanzania?Mkuu, hivi huoni aibu? Hivi Trafick wa Tanzania wanavaa kofia nyeusi?
Aisee wewe ndo hovyo kabisa,kwani ni wapi mleta uzi kasema hao ni trafic wa tanzania?..Unatoa povu bila kujua unachotolea povu ni nini?...Yaan wewe na wa Lumumba wenzako hamna ofauti kabisa...Mnalazimishwa kucheza ngoma msioijua hata inachezwaje..Poor you.Mkuu, kwa kawaida huwa sipendi kulumbana na watu wasio na akili. Nimewaambia kuwa mnapotunga uongo lazima uendane na ukweli. Hapa mmebugi sana. Tangu lini Trafick akawa amevaa mavazi meupe na kofia nyeusi? Hahahahahaaaa
Tuliza mzuka endelea ku enjoy buku 7,Hakuna sehemu mleta uzi amesema huyo ni askari wa Tanzania...Mkuu, hawa ni wapuuzi na kazi yetu ni kuwapuuza
mbezi tangi bovuTeh Teh basi wambie watu ni wapi hapo na lini? Halafu hizo kofia nyeusi ni za Trafic? Teh Teh...
Hhahahahaa,Lumumba bana,Nkikuuliza nia wapi mleta uzi amesema hao ni polisi wa tanzania utaonyesha?...Ivi kwa nini Lumumba huwa mna mshawasha sana?...Buku 7 haiwatoshi au?Acha uongo, wapi huko na sababu ilikuwa nini? halafu member wa JF ulikuwa peke yako maana sijaona mwingine wa kuthibisha na hata huko kwingine kwenye social media hakuna
kama kuwapuuza wala usingechangia!Mkuu, hawa ni wapuuzi na kazi yetu ni kuwapuuza