Video of JK and GWB

Wa JF ni lazima tutumiye maneno ya hekima tutapomzungumzi RAIS WETU kumuita RAIS mwenda azim huyu siyo baba yako au rafiki yako bali ni RAIS wa nchi yetu ambaye tumemchanguwa sisi wenyewe kwa kura zetu.Mimi nina unga mkono RAIS kwenda USA hata mara 100 siyo tatizo RAIS anania njema tuu na TZ kwenda USA kwanza inaisaidia TZ kwa kupata misaada kutoka USA kwa wengi sana tofauti na kipindi cha RAIS mkapa kama mnachuki zetu binafsi semeni.RAIS KIKWETE NI RAIS BORA TOKEYA AINGIYE IKULU
 
Wa JF ni lazima tutumiye maneno ya hekima tutapomzungumzi RAIS WETU kumuita RAIS mwenda azim huyu siyo baba yako au rafiki yako bali ni RAIS wa nchi yetu ambaye tumemchanguwa sisi wenyewe kwa kura zetu.Mimi nina unga mkono RAIS kwenda USA hata mara 100 siyo tatizo RAIS anania njema tuu na TZ kwenda USA kwanza inaisaidia TZ kwa kupata misaada kutoka USA kwa wengi sana tofauti na kipindi cha RAIS mkapa kama mnachuki zetu binafsi semeni.RAIS KIKWETE ni RAIS BORA TOKEYA AINGIYE IKULU
 
...alipoondoka hapa ..tulihoji inakuwaje anafanya safari ya saba ya marekani..bila sababu za msingi??..kina salva wakamrushia taulo jeupe[kutetea/kumuokoa]..wakisema ...SAFARI HII LAZIMA RAIS AENDE KWA SABABU AMEPATA HESHIMA YA KUPEWA STATE VISIT NA BUSH....Tukasema afadhali..maana kiongozi wa mwisho kupewa state visit marekani inaeleweka ni MWALIMU....wakati wa rafiki yake keneddy.....

......kina kagame na museveni ambao nao wamepata kuwa vipaka vya marekani ...kama kikwete hadi walipokosa dhamani ..wao walipewa heshima ya state visit ..na kuhudhuria ..prayer breakfast mara kadhaa....so it means kikwete is a cheap lousy...to bush...na asubiri obama[democrats ] wakishinda watakavyomtupia virago!!!

.......Na Mwai Kibaki pia alipata State Visit.........

Mkuu Icadon......naona Salva kwa mara nyingine hayuko makini......lol
 
Sasa jamani mlitaka Kikwete ashuke kwenye Emirates au KLM halafu ndio akague hilo gwaride? hahahahahahahaha. Hivi hakuna websites walizoweka hizo videos kuhusu ziara yake na kuruhusu comments ili tuwaambie kina Bush kuwa pesa zao zinaliwa.
 
Wa JF ni lazima tutumiye maneno ya hekima tutapomzungumzi RAIS WETU kumuita RAIS mwenda azim huyu siyo baba yako au rafiki yako bali ni RAIS wa nchi yetu ambaye tumemchanguwa sisi wenyewe kwa kura zetu.Mimi nina unga mkono RAIS kwenda USA hata mara 100 siyo tatizo RAIS anania njema tuu na TZ kwenda USA kwanza inaisaidia TZ kwa kupata misaada kutoka USA kwa wengi sana tofauti na kipindi cha RAIS mkapa kama mnachuki zetu binafsi semeni.RAIS KIKWETE ni RAIS BORA TOKEYA AINGIYE IKULU

Huwezi kutumia Hekima kumzungumzia Rais ambaye hana Hekima kwa wananchi wake.
 
Ukiangalia vema, hizi picha zilichukuwa kwa ajili ya kuwapa opportunity waandishi kupata footage ya viongozi hao wawili. Naamini kuwa baada ya hapa kulikuwa na mazungumzo mengine kati ya marais hao kuhusu mambo mablimbali.
Kwamba ni state visit au vipi, hilo linahitaji ufafanuzi kutoka kwa wahusika ambao walituaminisha kuwa hiyo ni state visit
 
Jamani, kwenye hicho kideo, Kikwete kasema "well I came here to say thank you" amekuja kutoa shukrani!

I wish we could get the whole footage of the oval office press talk, maana I am curious to know what else did he say!

May be whitehouse website may have full transcript of the meeting.

Sadly, it is not that Kikwete was uncomfortable, but he was never prepared for the meeting. There is no teleprompter or a reading speech! Rather than say " You have done so much for Africa, so much for Tanzania. When you compare, no U.S. president has done so much for Africa and for Tanzania as you have done".

Inaonyesha ni unyenyekevu fulani badala ya msimamo wa kutaka Marekani ifanye kazi za ziada kwenye masuala ya kuondoa Umasikini kauongeza kufuta madeni kwa nchi masikini, kusaidia nchi masikini kupata haki dhodo ya makampuni ya Kimarekani ambayo yanadhulumu kwa kutumia utandawazi, na mambo mengine ya msingi yanayoikabili Afrika!

Lakini what the heck, he is Mkwere, that was expected, amekuja kuangalia Basketball ya Wanawake, kisha arudi Tanzania kwa mfungo wa Ramadhani kabla ya kurudi tena kwenye mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa Mataifa!


....inaonekana bado alikuwa hajaamka usingizini..bado akisheherekea arusi ya kijana wake..pamoja na kuambatana naye marekani ili kwa pamoja waangalie ladies basketball...nani amepata footage ya kwenye mechi ya wanawake???..may be it can reveal something at the expense of our poor tax monies......kama kuna fafari nyingine ya mkutano wa UN in two months ...it will be waste....bora angeenda mbeya hii halafu mwezi ujao ..angepata wasaa wa kufanya aliyoendea sasa....

...kibaki hafanyi kabisa ziara ....muda mwingi hufanya ziara za ndani na managerial supervition ya uchumi akiwa ikulu..kwa ukaribu..yet anafanya vema kiuchumi..kuliko huyu wetu ambaye hapati hata muda wa kusoma makabrasha anayotakiwa kuyaona yeye pale ikulu...kwa kutumia muda mrefu barabarani...wanaosoma makabrasha na kushauri ni washauri design ya january..what much do we expect?
 
Wa JF ni lazima tutumiye maneno ya hekima tutapomzungumzi ............huyu siyo baba yako au rafiki yako bali ni RAIS RAIS KIKWETE NI RAIS BORA TOKEYA AINGIYE IKULU[/SIZE][/COLOR]


..............hivi kikwte ni rais bora au bora rais..rais aliyeambiwa usoni na spika kuwa ...mzee ongeza ukali....speed..!!!...RAIS ALIYATUAHIDI ASALI NA MAZIWA .........

MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA -YANAWEZEKANA

TANZANIA YENYE NEEMA INAWEZEKANA...

kujenga uchumi KWA ARI MPYA KASI MPYA NA NGUVU MPYA........

....LABDA UBA MACHO YA ZIADA...LAKINI UTAWALA WA KIKWETE HAUNA LA KUJIVUNIA.KWANZA ..UMEZIDI KWA UWONGO WA KUPIKA TARAKIMU.....HAIINGII AKILINI ALIPODANGANYA BUNGE KWAMBA HADI SASA TAYARI AMETENGENEZA AJIRA 600,000..KATI YA MILIONI ALIZOAHIDI...NI MAZINGAUMWE..TU..

ALAFU MTU ANAKUJA HAPA KUTUAMBIA.......JK NI RAIS BORA KABISA...!!!!
 
Wa JF ni lazima tutumiye maneno ya hekima tutapomzungumzi RAIS WETU kumuita RAIS mwenda azim huyu siyo baba yako au rafiki yako bali ni RAIS wa nchi yetu ambaye tumemchanguwa sisi wenyewe kwa kura zetu.Mimi nina unga mkono RAIS kwenda USA hata mara 100 siyo tatizo RAIS anania njema tuu na TZ kwenda USA kwanza inaisaidia TZ kwa kupata misaada kutoka USA kwa wengi sana tofauti na kipindi cha RAIS mkapa kama mnachuki zetu binafsi semeni.RAIS KIKWETE ni RAIS BORA TOKEYA AINGIYE IKULU

Ndugu mtoa hoja,

Unasifia sana safari za kimatonya, swali kwako ni lini Tanzania itaacha kuwa omba omba na kufurahia misaada?

Kauli kama zako kusifia misafara ya kwenda kupewa misaada zinadhihirisha wazi ugumu wa Tanzania kuachana na ujinga,umasikini, maradhi na unyonge!

Nashukuru umekuja na kuwa muwazi na kutukumbusha sisi tunaopigania Taifa letu lisiwe na Uhuru wa bendera tuu bali liwe na uhuru wa uchumi na kujitegemwa kuwa tuna kazi sana kuwabadilisha mawazo watu kama wewe na Rais kikwete ambao wana mawazo mgando na kufurahia misaada na mikopo ili kujikidhi!

Shame on you!
 
Mimi nina unga mkono RAIS kwenda USA hata mara 100 siyo tatizo RAIS anania njema tuu na TZ kwenda USA kwanza inaisaidia TZ kwa kupata misaada kutoka USA.....
Yaaani unaunga mkono Rais mzima wa taifa kwenda kuangalia basketbal ya wanawake? Ameacha kwenda kutembelea walima Pamba wa kule Shinyanga na mwanza, walima kahawa wa Kule bukoba, Kweli Tanzania hatuna Rais, tuna adventurist...! Ni msaada gani tunapata baada ya yeye kuangalia hio basketbal ya wanawake? Au hao basketballers wanategemea kuja kuwekeza tanzania? Au ameenda kutafuta nyumba ndogo?
 
Jasusi,

..sasa tufanye nini jamani ili RAISI wetu apewe hiyo STATE VISIT?
jokaKuu,
Uamuzi wa state visit uko mikononi mwa White House, State Department na National Security Council. Sisi Watanzania hatuna cha kufanya ku-effect such a visit. The last state visit to the US by a Tanzania leader was in 1977 alipokuja Mwalimu Nyerere akikaribishwa na Jimmy Carter. Kwa kweli siku hiyo hata taxi driver walijua Tanzania ni nini maana bendera zetu zilipepea kwenye mtaa mzima wa Pennyslvania Avenue na sisi wanyonge tulijihisi kuwa hata mwezini siku moja tunaweza kwenda. Tulimpokea Mwalimu kwenye uwanja wa Andrews Air Force base na kesho yake tukatinga south lawn ya White House ambako mizinga 21 ilifyatuliwa huku tukipeperusha bendera za Tz. Bwana we, hata wajukuu wangu siku moja nitawasimulia!
 
Wakati tunapigana na ufisadi Bush anataka kutuaminisha kuwa Kikwete anawapenda wananchi wake! Lazima tukubali kuwa hii misaada ndio inaleta ufisadi.Kikwete na serikali yake wanakuwa ombaomba they dont think how to generate income in our own, how to develop without the help of wakoloni wa kisasa.


Siamini kuwa Bush na timu yake kweli anasema Kikwete is a good leader, huu ni ujinga, na kutufanya mazezeta.Sio USA tu nchi zote zinazotoa misaada zinajua kuwa kuna ufisadi WAFANYAKAZI WA BALOZI HIZO NAO WANAFAIDIKA NA MGAO! thats why they say nothing tangu tulipoanza kupokea misaada!

Waberoya
 
Wakuu mimi ningependa kama kuna mtu alihudhuria huko uwanjani na akafanikiwa kupiga picha ya huyu Vasco-Dagama arushe hapa! Nadhani ni wakati mwafaka kuwaonesha watanzania kituko anachofanya Raisi na ziara uchwara zake! Hawezi kutuabisha hivi! Mpaka hapa Bush anajua kama Raisi yuko hivi je wananchi!
 
jokaKuu,
Uamuzi wa state visit uko mikononi mwa White House, State Department na National Security Council. Sisi Watanzania hatuna cha kufanya ku-effect such a visit. The last state visit to the US by a Tanzania leader was in 1977 alipokuja Mwalimu Nyerere akikaribishwa na Jimmy Carter. Kwa kweli siku hiyo hata taxi driver walijua Tanzania ni nini maana bendera zetu zilipepea kwenye mtaa mzima wa Pennyslvania Avenue na sisi wanyonge tulijihisi kuwa hata mwezini siku moja tunaweza kwenda. Tulimpokea Mwalimu kwenye uwanja wa Andrews Air Force base na kesho yake tukatinga south lawn ya White House ambako mizinga 21 ilifyatuliwa huku tukipeperusha bendera za Tz. Bwana we, hata wajukuu wangu siku moja nitawasimulia!

..jasusi wape wape hawa wakereketwa uchwara wa kikwete uchwara waliotumwa hapa kuja kutuambia cha kufanya...kwanza hata siwezi kuwaita wakereketwa wa ccm maana hata ccm sasa imemeguka kila mtu anaamua...siumesikia maandamano yaliyoandaliwa zanziba[agizo ...so hata chama sasa hana control nacho....hata mgombea yoyete anayetakiwa na mtandao wa kikwete siku hizi lazima aangukie pua.......

kikwete angepewa state visit na bush angeadithia hadi kjwenye vikiao vya kahawa anavyoendaga usiku....ameaishia kutembezwa bustanini na kupelekwa mess ya white house kwa chakula...he is being so cheap..of all puddos...

nchi yetu ni tajiri inahitaji viongozi wanaojua hilo...

nyerere alipokuwa anaenda for state visits enzi zake alikuwa haendi kujishaua kwa kusema ahsante ..kwa mikopo yenye riba...alikuwa AKIENDA KUTOA LANDMARK STATEMENTS KUHUSU NCHI MASKINI..NA UKOLONI MAMBOLEO...TULITEGEMEA KIKWETE NAYE AKIPATA MUDA WAKUONANA NA BUSHA KWA KUWA ANAPATA AIR TIME APASUE MAMBO MAZITO....ZAIDI YA KUFANYA MARUDIO YA HOTUBA ZA AHASANTE ALISHOKWISHATOA HAPA DAR BUSH ALIPOKUJA.....NDIO MAANA HAKUNA MWANDISHI MAKINI ALIYEENDA PALE AKIJUA HAKUNA LA KUANDIKA ZAIDI YA KUONA KIONGOZI KUTOKA TAIFA MASKINI WA KUJITAKIA AKILAMBA VIATU VYA BUSH...KAMA NAYE ANAVYOLAMWA NA WAANDISHI UCHWARA HAPA NYUMBANI...
 
Unaweza kusema ni mwenda azimu kumbe kuna wenda azimu hata wa kusikiliza, Mh. rais amesema has been almost eliminated.... na cases za malaria zimeshuka toka 30% to 1%. Sasa kama mtu anabeza hata mafanikio katika Afya sijui atakuwa katika kundi gani.

mkuu unaongelea afya ipi mkuu ya mafisadi na familia zao au! naomba uende mombo then urudi uje utuandikie hayo hapo juu mind you Mombo ni hospital kubwa sasa hizo ndogo ndogo itakuwaje... please usiongelee suala la afya as kama daktari watarajiwa tuko confused hatujui tutafanyaje kazi bila vifaa tunajuta hata kusome hiyo fani pleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeese
 
Zanzibar yatoa changamoto kwa Tanzania Bara

MAFANIKIO ya Zanzibar katika mapambano dhidi ya malaria ni changamoto kubwa kwa Tanzania Bara dhidi ya ugonjwa huo unaoongoza kuua watu nchini.

Hayo yalisemwa Jumatano wiki hii na Rais Jakaya Kikwete, alipokuwa akizungumza katika mkutano wake na viongozi wa Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa (CGD) jijini hapa.

Alisema changamoto kubwa iliyo mbele ya wananchi wa Tanzania Bara kutokana na mafanikio hayo ni kuhakikisha kuwa malaria inatokomea na kuacha kuwa muuaji kiongozi wa watu nchini.

Akipongeza hatua iliyofikiwa na Zanzibar katika mapambano hayo, Rais ambaye yuko katika ziara yake ya kwanza ya kikazi nchini Marekani, alisema njia pekee ni ya kutumia vyandarua vilivyowekwa dawa, unyunyiziaji sumu ya mbu katika mazalia na dawa za kupambana na malaria.

"Ni kweli kuwa Zanzibar ikilinganishwa na Tanzania Bara ni ndogo na yenye idadi ndogo ya watu na hivyo kuwa rahisi kufikia mafanikio hayo, lakini tunaweza kwa upande wa Bara tukaanza na sehemu ndogo ndogo hadi mafanikio yapatikane," alisema Rais.

Alisema Serikali yake imepanga kutangaza hatua madhubuti za kupambana na malaria ifikapo Oktoba mwaka huu, huku akiitaka Zanzibar kuhakikisha inalinda mafanikio hayo, kwa kutoruhusu wadudu wa malaria kuingia kisiwani humo.

Aliipongeza Serikali ya Marekani kwa mchango wake mkubwa uliowezesha Zanzibar kufikia hatua hiyo ya mafanikio hayo ambapo mwaka 2005 iliweza kupambana na malaria na kubakiwa na maambukizi kwa asilimia 25 na mwaka huu maambukizi ni asilimia moja tu.

Naye Balozi wa Marekani nchini, Bw. Mark Green, alisema ili mapambano hayo yafikiwe katika nchi yoyote inayotishiwa na ugonjwa huo, kinachotakiwa ni dhamira ya dhati na raslimali.

"Kinachotakiwa ni wanawake na watoto kutumia vyandarua vyenye dawa, nyumba zinyunyiziwe sumu ya mbu, wajawazito watibiwe na huduma ya afya iwe ya kuridhisha kwa jamii," alisema Bw. Green ambaye anafuatana na Rais Kikwete katika ziara hiyo ya siku tatu.

Wengine katika ziara hiyo, ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Bernard Membe, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Profesa Jumanne Maghembe na Waziri wa Elimu, Ufundi na Mafunzo ya Amali za Taifa, Bw. Haroun Ali Suleiman.

Source: Majira
 
Zanzibar yatoa changamoto kwa Tanzania Bara

MAFANIKIO ya Zanzibar katika mapambano dhidi ya malaria ni changamoto kubwa kwa Tanzania Bara dhidi ya ugonjwa huo unaoongoza kuua watu nchini.

Hayo yalisemwa Jumatano wiki hii na Rais Jakaya Kikwete, alipokuwa akizungumza katika mkutano wake na viongozi wa Kituo cha Maendeleo ya Kimataifa (CGD) jijini hapa.

Alisema changamoto kubwa iliyo mbele ya wananchi wa Tanzania Bara kutokana na mafanikio hayo ni kuhakikisha kuwa malaria inatokomea na kuacha kuwa muuaji kiongozi wa watu nchini.

Akipongeza hatua iliyofikiwa na Zanzibar katika mapambano hayo, Rais ambaye yuko katika ziara yake ya kwanza ya kikazi nchini Marekani, alisema njia pekee ni ya kutumia vyandarua vilivyowekwa dawa, unyunyiziaji sumu ya mbu katika mazalia na dawa za kupambana na malaria.

"Ni kweli kuwa Zanzibar ikilinganishwa na Tanzania Bara ni ndogo na yenye idadi ndogo ya watu na hivyo kuwa rahisi kufikia mafanikio hayo, lakini tunaweza kwa upande wa Bara tukaanza na sehemu ndogo ndogo hadi mafanikio yapatikane," alisema Rais.

Alisema Serikali yake imepanga kutangaza hatua madhubuti za kupambana na malaria ifikapo Oktoba mwaka huu, huku akiitaka Zanzibar kuhakikisha inalinda mafanikio hayo, kwa kutoruhusu wadudu wa malaria kuingia kisiwani humo.

Aliipongeza Serikali ya Marekani kwa mchango wake mkubwa uliowezesha Zanzibar kufikia hatua hiyo ya mafanikio hayo ambapo mwaka 2005 iliweza kupambana na malaria na kubakiwa na maambukizi kwa asilimia 25 na mwaka huu maambukizi ni asilimia moja tu.

Naye Balozi wa Marekani nchini, Bw. Mark Green, alisema ili mapambano hayo yafikiwe katika nchi yoyote inayotishiwa na ugonjwa huo, kinachotakiwa ni dhamira ya dhati na raslimali.

"Kinachotakiwa ni wanawake na watoto kutumia vyandarua vyenye dawa, nyumba zinyunyiziwe sumu ya mbu, wajawazito watibiwe na huduma ya afya iwe ya kuridhisha kwa jamii," alisema Bw. Green ambaye anafuatana na Rais Kikwete katika ziara hiyo ya siku tatu.

Wengine katika ziara hiyo, ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. Bernard Membe, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi, Profesa Jumanne Maghembe na Waziri wa Elimu, Ufundi na Mafunzo ya Amali za Taifa, Bw. Haroun Ali Suleiman.

Source: Majira
Kikwete again! hebu funga safari ukacheki jamani mimi nimegutuka report nyingi tuzapewa ni za kupika sana na hii itatumaliza kama hatutakuwa makini.
 
jokakuu,
uamuzi wa state visit uko mikononi mwa white house, state department na national security council. Sisi watanzania hatuna cha kufanya ku-effect such a visit. The last state visit to the us by a tanzania leader was in 1977 alipokuja mwalimu nyerere akikaribishwa na jimmy carter. Kwa kweli siku hiyo hata taxi driver walijua tanzania ni nini maana bendera zetu zilipepea kwenye mtaa mzima wa pennyslvania avenue na sisi wanyonge tulijihisi kuwa hata mwezini siku moja tunaweza kwenda. tulimpokea mwalimu kwenye uwanja wa andrews air force base na kesho yake tukatinga south lawn ya white house ambako mizinga 21 ilifyatuliwa huku tukipeperusha bendera za tz. Bwana we, hata wajukuu wangu siku moja nitawasimulia!

mkuu how old were you back then?...
 
..............nyerere alipokuwa anaenda for state visits enzi zake alikuwa haendi kujishaua kwa kusema ahsante ..kwa mikopo yenye riba...alikuwa AKIENDA KUTOA LANDMARK STATEMENTS KUHUSU NCHI MASKINI..NA UKOLONI MAMBOLEO...TULITEGEMEA KIKWETE NAYE AKIPATA MUDA WAKUONANA NA BUSHA KWA KUWA ANAPATA AIR TIME APASUE MAMBO MAZITO....ZAIDI YA KUFANYA MARUDIO YA HOTUBA ZA AHASANTE ALISHOKWISHATOA HAPA DAR BUSH ALIPOKUJA.....NDIO MAANA HAKUNA MWANDISHI MAKINI ALIYEENDA PALE AKIJUA HAKUNA LA KUANDIKA ZAIDI YA KUONA KIONGOZI KUTOKA TAIFA MASKINI WA KUJITAKIA AKILAMBA VIATU VYA BUSH...KAMA NAYE ANAVYOLAMWA NA WAANDISHI UCHWARA HAPA NYUMBANI...

Phill,

shukran kwa kuliona hilo, yaani mkuu hakuwa na kipya kabisaa.................yaani safari yote hiyo na mibichwa yote iliyoongozana nayo....eti kuja kusema ASANTE!!...........aahh jamani we are better than that.............
 
Back
Top Bottom