Video:Nyerere alipokutana na Keneth Kaunda gerezani na kushinikiza atoke

Naukumbuka sana huo wakati. Sisi Watanzania tuliokuwa tukisoma Zambia tulijisikia fahari sana.
 
Hahaha Mwl Nyerere alikuwa kiboko ,yaani yupo kama Gulfstream Jet ni ndogo kiumbo ila very powerful

Itachukua muda kupata watu wa aina yake

R.I.P Mwl Nyerere
Mkuu kwa kizazi hiki hatatokea,waliopo wanatumia nguvu tu kujifananisha nae.

Nikama vile itavyo kua ngumu kwa wana wa Africa ya kusini kumpata mtu wa karba ya Mandela
 
Mwl Nyerere alikuwa na Akili nyingi sana, hata Chakula alichoandaliwa na Mwenyeji wake aliomba akalie gerezani na Chiluba ili ku break fast ule mgomo wa Kaunda wa kutokula
 
Kaunda alifanya ninj mpka akafungwa. Wakongwe tujuzeni
Ilitokea jaribio la Mapinduzi ya Kumpindua Chiluba,Askari wa vyeo vya chini wakiwa na AK47 waliizingira nyumba na makazi ya Chiluba huku wakimtaka aachie madaraka.Hiyo ilikuwa ni mwezi October ya 1997.

Wakati haya yanatokea,Dr Kaunda alikuwa nje ya nchi kwa ziara ya zaidi ya miezi miwili ktk nchi za Z'bwe na S.Afrika kwa marafiki zake.Yale "mapinduzi" hayakufanikiwa,na Chiluba aliyahusisha na mkono wa Kaunda.Hivyo alivizia Kaunda aliporudi Zambia akamkamata.

Kaunda alikamatwa siku ya sikukuu ya Chrismass ya mwaka 1997,na akapelekwa kwenye gereza moja eneo la Kabwe.Kukamatwa kwake kulizua taharuki kwa wafuasi wake na sikukuu iliharibika sbb Zambia ni nchi ya Kikristo,hivyo ni kama sherehe iliingia mchanga kwa wale wanaompenda Kaunda na hata wale waliokuwa wanamuheshimu kama "Baba wa Taifa"

Nyerere na jamaa yake Mgabe waliumia sana,wakaamua kumuomba Chiluba amuachie Kaunda mara moja,na Mwalimu aliposikia Kaunda kagoma kula,akafunga safari akiwa na Mama Nyerere mpaka gerezani.Kaunda alilia sana kumuona Mwalimu.Na kwa sbb Kaunda alikuwa amegoma kula wala kunywa,Nyerere alibeba sharubati ya chungwa na biskuti pamoja na maji.Na alipofika gerezani akamwambia Kaunda wale wote,lkn nia ya Nyerere ilikuwa ni kumfanya Kaunda aanze kula.Hata Waandishi wa Habari walipomuuliza Nyerere kaongea nini na Kaunda,Nyerere aliwajibu "We had a nice drink of juice and a little biscuits.We broke his fast together"

Baada ya hapo,Chiluba alimtoa Kaunda ndani,na akamuweka nyumbani kwake kizuizini,na kukataza mtu asifike aneo la mita 100 toka nyumbani kwa Kaunda.

Malipo ni hapa hapa,Chiluba akaja kushitakiwa na Levy Mwanawasa kwa rushwa,mkewe Regina Chiluba akafungwa kwa ufujaji wa mali za nchi,na hatimaye Chiluba alikufa 2011 huku Kaunda akiendekea kula maisha.

Ukitaka kujua "feelings" za Kaunda kwa Mwalimu,angalia mazishi ya Mandela;ilikuwa kifo cha Mandela,lkn sehemu ya hotuba yake alimzungumzia sana Mwalimu na Mama Maria Nyerere.

Siku hizi tuna viongozi,ushawishi wao hauvuki hata Kisiwa cha Chumbe
 
Ilitokea jaribio la Mapinduzi ya Kumpindua Chiluba,Askari wa vyeo vya chini wakiwa na AK47 waliizingira nyumba na makazi ya Chiluba huku wakimtaka aachie madaraka.Hiyo ilikuwa ni mwezi October ya 1997.

Wakati haya yanatokea,Dr Kaunda alikuwa nje ya nchi kwa ziara ya zaidi ya miezi miwili ktk nchi za Z'bwe na S.Afrika kwa marafiki zake.Yale "mapinduzi" hayakufanikiwa,na Chiluba aliyahusisha na mkono wa Kaunda.Hivyo alivizia Kaunda aliporudi Zambia akamkamata.

Kaunda alikamatwa siku ya sikukuu ya Chrismass ya mwaka 1997,na akapelekwa kwenye gereza moja eneo la Kabwe.Kukamatwa kwake kulizua taharuki kwa wafuasi wake na sikukuu iliharibika sbb Zambia ni nchi ya Kikristo,hivyo ni kama sherehe iliingia mchanga kwa wale wanaompenda Kaunda na hata wale waliokuwa wanamuheshimu kama "Baba wa Taifa"

Nyerere na jamaa yake Mgabe waliumia sana,wakaamua kumuomba Chiluba amuachie Kaunda mara moja,na Mwalimu aliposikia Kaunda kagoma kula,akafunga safari akiwa na Mama Nyerere mpaka gerezani.Kaunda alilia sana kumuona Mwalimu.Na kwa sbb Kaunda alikuwa amegoma kula wala kunywa,Nyerere alibeba sharubati ya chungwa na biskuti pamoja na maji.Na alipofika gerezani akamwambia Kaunda wale wote,lkn nia ya Nyerere ilikuwa ni kumfanya Kaunda aanze kula.Hata Waandishi wa Habari walipomuuliza Nyerere kaongea nini na Kaunda,Nyerere aliwajibu "We had a nice drink of juice and a little biscuits.We broke his fast together"

Baada ya hapo,Chiluba alimtoa Kaunda ndani,na akamuweka nyumbani kwake kizuizini,na kukataza mtu asifike aneo la mita 100 toka nyumbani kwa Kaunda.

Malipo ni hapa hapa,Chiluba akaja kushitakiwa na Levy Mwanawasa kwa rushwa,mkewe Regina Chiluba akafungwa kwa ufujaji wa mali za nchi,na hatimaye Chiluba alikufa 2011 huku Kaunda akiendekea kula maisha.

Ukitaka kujua "feelings" za Kaunda kwa Mwalimu,angalia mazishi ya Mandela;ilikuwa kifo cha Mandela,lkn sehemu ya hotuba yake alimzungumzia sana Mwalimu na Mama Maria Nyerere.

Siku hizi tuna viongozi,ushawishi wao hauvuki hata Kisiwa cha Chumbe
Aisee! Shukrani sana comrade..
 
Ilitokea jaribio la Mapinduzi ya Kumpindua Chiluba,Askari wa vyeo vya chini wakiwa na AK47 waliizingira nyumba na makazi ya Chiluba huku wakimtaka aachie madaraka.Hiyo ilikuwa ni mwezi October ya 1997.

Wakati haya yanatokea,Dr Kaunda alikuwa nje ya nchi kwa ziara ya zaidi ya miezi miwili ktk nchi za Z'bwe na S.Afrika kwa marafiki zake.Yale "mapinduzi" hayakufanikiwa,na Chiluba aliyahusisha na mkono wa Kaunda.Hivyo alivizia Kaunda aliporudi Zambia akamkamata.

Kaunda alikamatwa siku ya sikukuu ya Chrismass ya mwaka 1997,na akapelekwa kwenye gereza moja eneo la Kabwe.Kukamatwa kwake kulizua taharuki kwa wafuasi wake na sikukuu iliharibika sbb Zambia ni nchi ya Kikristo,hivyo ni kama sherehe iliingia mchanga kwa wale wanaompenda Kaunda na hata wale waliokuwa wanamuheshimu kama "Baba wa Taifa"

Nyerere na jamaa yake Mgabe waliumia sana,wakaamua kumuomba Chiluba amuachie Kaunda mara moja,na Mwalimu aliposikia Kaunda kagoma kula,akafunga safari akiwa na Mama Nyerere mpaka gerezani.Kaunda alilia sana kumuona Mwalimu.Na kwa sbb Kaunda alikuwa amegoma kula wala kunywa,Nyerere alibeba sharubati ya chungwa na biskuti pamoja na maji.Na alipofika gerezani akamwambia Kaunda wale wote,lkn nia ya Nyerere ilikuwa ni kumfanya Kaunda aanze kula.Hata Waandishi wa Habari walipomuuliza Nyerere kaongea nini na Kaunda,Nyerere aliwajibu "We had a nice drink of juice and a little biscuits.We broke his fast together"

Baada ya hapo,Chiluba alimtoa Kaunda ndani,na akamuweka nyumbani kwake kizuizini,na kukataza mtu asifike aneo la mita 100 toka nyumbani kwa Kaunda.

Malipo ni hapa hapa,Chiluba akaja kushitakiwa na Levy Mwanawasa kwa rushwa,mkewe Regina Chiluba akafungwa kwa ufujaji wa mali za nchi,na hatimaye Chiluba alikufa 2011 huku Kaunda akiendekea kula maisha.

Ukitaka kujua "feelings" za Kaunda kwa Mwalimu,angalia mazishi ya Mandela;ilikuwa kifo cha Mandela,lkn sehemu ya hotuba yake alimzungumzia sana Mwalimu na Mama Maria Nyerere.

Siku hizi tuna viongozi,ushawishi wao hauvuki hata Kisiwa cha Chumbe


Mkuu barafu nafarijika sana na uwepo wako hapa JF tunafyonza vitu adimu kweli kweli.
 
Ilitokea jaribio la Mapinduzi ya Kumpindua Chiluba,Askari wa vyeo vya chini wakiwa na AK47 waliizingira nyumba na makazi ya Chiluba huku wakimtaka aachie madaraka.Hiyo ilikuwa ni mwezi October ya 1997.

Wakati haya yanatokea,Dr Kaunda alikuwa nje ya nchi kwa ziara ya zaidi ya miezi miwili ktk nchi za Z'bwe na S.Afrika kwa marafiki zake.Yale "mapinduzi" hayakufanikiwa,na Chiluba aliyahusisha na mkono wa Kaunda.Hivyo alivizia Kaunda aliporudi Zambia akamkamata.

Kaunda alikamatwa siku ya sikukuu ya Chrismass ya mwaka 1997,na akapelekwa kwenye gereza moja eneo la Kabwe.Kukamatwa kwake kulizua taharuki kwa wafuasi wake na sikukuu iliharibika sbb Zambia ni nchi ya Kikristo,hivyo ni kama sherehe iliingia mchanga kwa wale wanaompenda Kaunda na hata wale waliokuwa wanamuheshimu kama "Baba wa Taifa"

Nyerere na jamaa yake Mgabe waliumia sana,wakaamua kumuomba Chiluba amuachie Kaunda mara moja,na Mwalimu aliposikia Kaunda kagoma kula,akafunga safari akiwa na Mama Nyerere mpaka gerezani.Kaunda alilia sana kumuona Mwalimu.Na kwa sbb Kaunda alikuwa amegoma kula wala kunywa,Nyerere alibeba sharubati ya chungwa na biskuti pamoja na maji.Na alipofika gerezani akamwambia Kaunda wale wote,lkn nia ya Nyerere ilikuwa ni kumfanya Kaunda aanze kula.Hata Waandishi wa Habari walipomuuliza Nyerere kaongea nini na Kaunda,Nyerere aliwajibu "We had a nice drink of juice and a little biscuits.We broke his fast together"

Baada ya hapo,Chiluba alimtoa Kaunda ndani,na akamuweka nyumbani kwake kizuizini,na kukataza mtu asifike aneo la mita 100 toka nyumbani kwa Kaunda.

Malipo ni hapa hapa,Chiluba akaja kushitakiwa na Levy Mwanawasa kwa rushwa,mkewe Regina Chiluba akafungwa kwa ufujaji wa mali za nchi,na hatimaye Chiluba alikufa 2011 huku Kaunda akiendekea kula maisha.

Ukitaka kujua "feelings" za Kaunda kwa Mwalimu,angalia mazishi ya Mandela;ilikuwa kifo cha Mandela,lkn sehemu ya hotuba yake alimzungumzia sana Mwalimu na Mama Maria Nyerere.

Siku hizi tuna viongozi,ushawishi wao hauvuki hata Kisiwa cha Chumbe
Hapa nimepata kitu. Ahsante sana kaka mkubwa
 
Kubwa kuliko yote ni hoja alizojenga UN kushinikiza CHINA ipewe hadhi ya KURA YA VETO ambayo initially walipewa zile nchi zilizokuwa kwenye kundi la washindi wakati wa WW2.

Wakati huo no nation could foresee that one day CHINA would endanger US position as World's Superpower. Jambo hilo ni bahati ya mtende kwa taifa la China hasa wakati huu ambapo foreign policy ya CHINA inavyokinzana na ile ya Marekani. Kwahiyo, CHINA ana nguvu ya ku-veto maamuzi yoyote kule UN(na mabaraza yake) ambayo yako kinyume na maslahi yake.

Jambo hili ni chungu mno kwa Marekani.
Nyerere nyerere nyerere, je marais wengine wanaweza kuyafanya haya?? Basi kama unavyoona Brazil wana Pele katika soka basi Tanzania tuna Nyerere hafi
 
Humu hakuna kuulizana umri, kwani Leo kuna maprofesa Wa historian wanaweza kuzungumzia mambo yaliyotokea kabla ya kristo sasa wewe ndugu yangu MTU anaonekana hajui na anajaribu kubisha Kwa hoja we Kwa kejeli unamuuliza umri wake, inaekekea umesoma China ya zamani au Yugoslavia ya enzi hizo ambako kuuliza maswali au kuwa mdadisi ilichukuliwa kama mtovu Wa nidhamu na wakati mwingine mwahaini kabisa,
 
Back
Top Bottom