Public execution of woman condemned in Afghanistan - YouTube
Nimesikitishwa sana na taarifa hii, kama una PC waweza fuata link hii hapa chini na kuona jinsi Najiba (22yrs) alivyouwawa kwa kupigwa risasi mfululizo baada ya kutuhumiwa kuwa amekuwa na mahusiano nje ya ndoa, huku Wazinzi hao (males) wakitekeleza mauaji hayo as if ni haki kufanya hivyo. Hizi ni baadhi ya picha za wanaume wakishView attachment 58470anView attachment 58468galia na huyu Muuaji akitekeleza unyama huu in the name of Dini
Chini hapa ni rundo la wanaume wakishangalia unyama huu, stori yake unapata hapa 'We cannot forgive her, God tells us to finish her': video shows public execution of woman, 22, in Afghanistan after adultery allegations
View attachment 58469
dah wamemuonea mwana dada wa watu, na mwanaume aliyekuwa naye yu wapi? kwasababu hata kwenye biblia wameandika watu walimfumania mwanamke mmoja akizini wakampeleka kwa Yesu wakamwuliza hatima ya huyo mwanamama .Yesu aliwajibu asiye na dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe huyu mwanamke waliondoka pale pale wale wanaume . yawezekana hao walimuua huyo mwanadada ndo wale wale wazinzi ni unyama sana
Ubinaadamu unakuwepo kwa anaekamatwa na uzinzi tu? Hebu tujiulize uchomwaji wa vibaka na kuwapogowa wenzetu maalbino kunakuwaje????
Huo ndio uislamu na dini sahihi kwa mujibu wa qurani tukufu
Jesus forgave a woman who was caught in adultery because those who caught her could not prove if they were not sinners. They ran away and Jesus told to go and sin no more. These men are more than adulteres but religion can order anything because it is not Godly. God is a God of Mercy and forgiveness.
dah wamemuonea mwana dada wa watu, na mwanaume aliyekuwa naye yu wapi? kwasababu hata kwenye biblia wameandika watu walimfumania mwanamke mmoja akizini wakampeleka kwa Yesu wakamwuliza hatima ya huyo mwanamama .Yesu aliwajibu asiye na dhambi awe wa kwanza kumtupia jiwe huyu mwanamke waliondoka pale pale wale wanaume . yawezekana hao walimuua huyo mwanadada ndo wale wale wazinzi ni unyama sana
Huo ndio uislamu na dini sahihi kwa mujibu wa qurani tukufu
Qurani yenyewe inawapiga chenga wanafahamu tu hiyo mistari ya uhaini. "NO WORD LOVE IN THIS PATHETIC RELIGION"