Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,216
- 113,519
ila hii inaitwa piga nikupige ,nasikia huko kwa kina Nyani Ngadu polisi akikuambia mikono juu weka juu kweli ukiiweka mfukoni anakuwasha sasa inawezekana jamaa hakutaka kufuata sheria bila shuruti
Ndivyo inavyotakiwa.
Hivi unajua ni mapolisi wangapi wanauliwa kwenye line of duty?
Nani humu huko mavumbini huwa anakuja kulilia polisi weusi wa Marekani wanaouwawa na wahalifu weusi?
Huyu hapa kauliwa mwaka huu tu mwezi wa pili...tena kauliwa na mweusi. Nani alikuja kumlilia humu?
Kazi ya upolisi Marekani ni ngumu mno. Halafu kuna mapolisi kibao tu weusi wanaowaua watu weusi lakini watu huwa hawaji kulialia humu na wala hutasikia chochote popote pale.