dah? Hapo kaonyesha kweli bado yupo fiti?teh teh teh...
dah? Hapo kaonyesha kweli bado yupo fiti?
should b my next avatar....inaonekana hapa prezidaa alilazimishwa kukubali kwamba jamaa kafa///ndo mana speech alichelewa sana kuitoa,na aliposmalizia tu ''he is dead'' huo mlango duh