sasa huyo ndio mjeshi, fikiria wachungaji na mashehe wafanye niniHuyu Kanali amenisikitisha sanba,badala ya kufanya kazi anabaki kumuachia mungu wahalifu wadhurike...omba afya njema na ability ya kufanya majukumu yako kaka....
Huyu Kanali amenisikitisha sanba,badala ya kufanya kazi anabaki kumuachia mungu wahalifu wadhurike...omba afya njema na ability ya kufanya majukumu yako kaka....
Akamwaga na machozi kabisa...Colonel? au ni type ya Makamba...alipita Mtukula huyu kweli wakati wa IDD AMIN huyu? si angerudi mbio toka mstari wa mbele...alitakiwa kuwa bold na kuanza operesheni kusaka hao wauaji...kulia atuachie sisi tulie...badala ya kuanza kusaka wahalifu yeye yuko matangani...
I say, I don't blame the guy. Kwanza ni miaka mingi tangu atoke jeshi, pili jeshi la Tanzania halijawa katika hali ya kivita muda mrefu. Kingine ni kwamba hawa ni RAIA, si majangili au wanajeshi. NI WATOTO wengi wao, kuna kamoja hapo kamekufa kakiwa kwenye ziwa la mamaye. Mwingine kalala kajikunja na mama yake.
Kisasi gani hiki? Nilidhani kisasi unafanya ili kumuumiza mbaya wako, sasa hawa wameua wote pamoja na "mbaya" wao nadhani, hakuna aliyebaki zaidi ya kale katoto, Kurwa
Hivi serikali ya Tanzania haina 'killing machines' kama serikali ya Marekani? Killing machine wanafaa wapewe vitendea kazi kuwatafuta wauaji wa familia hiyo! Hao wauaji wa hiyo familia ni magaidi kwakweli. Hata wakinyongwa ni sawa tu! Potelea mbali.
Killing of innocent people is nothing but Terrorism. hapa ilitakiwa kuwekwa anti-terror squad ya Tanzania kuwasaka hawa wauaji.
Naimani serikali itafuatilia hili na kuachana na issue za kisasi kama za Jerry, etcSiyo ku-target watu wanaokosoa serikali huu ni muda wa kukabiliana na ukatili wa aina hii.
Mimi nadhani watu wote wa musoma wahamishwiwe sehemu tofauti tofauti, na hakuna kurudi, pia kilimo cha bangi kikomeshwe kabisa....