Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Serikali ina mpango wa kuhakikisha kuwa kila mwanafunzi wa sekondari ana laptop na wana mpango wa kujenga barabara ya kwenda juu kwa juu. Cha kushangaza vitu vya msingi kama matanki ya kupigana na moto kwenye shule zetu hayapo na katika taifa linalotaka kuishi katika ulimwengu wa kisasa bado wanapigana na moto mkubwa kwa ndoo za maji! Hata mbinu za msingi za kupambana na moto hakuna anayejua huko kwenye mashule yetu na badala yake watu wanapiga "mayowe"!!!
My Take:
Tunataka vya mbinguni, vya duniani vimetushinda! Give me a f@#$ng Break! On othe hand, si Ikulu ilipokoswa koswa ilibidi private fire company ije kusaidia kuzima moto siyo..
Last edited by a moderator: