Janjaweed
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 13,157
- 10,655
Hivi jamani......kweli inakujia akilini mtu amakutwa na bastola iko full hana risiti alafu akaachiwa kweli kwa dhamana ya kujizamini mwenyewe???? labda hizo stori wapelekwe watoto wa chekechea hata mtua asie enda darasani hatawaelewa?????
a million dollar question... Yaani haingii akilini mtu ana pingu na bastola anaachiwa halafu mtu ana mkanda au gwanda anawekwa ndani wiki!!!
...UPELELEZI UNAENDELEA