Jeshi la polisi katika mkoa wa Kipolisi wa Temeke jijini Dar-Es-Salaam limelazimika kutumia mabomu ya machozi na risasi za moto kutawanya kundi la vijana walio kuwa wamefunga barabara ya Mjimwema Kigamboni kupinga kuondolewa katika machimbo ya kokoto ya Maweni machuva Video
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.