MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
Hizo picha mnazotumia mmepewa ridhaa au ndio abuse?
Ni tabia mbaya kuchukua picha za watu Facebook na kuzijaza hapa.
Tafadhali ziondoeni
<a href="http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=_DpK1tDnynY#!" target="_blank">
Mc Sophia anamfunda bi haruc Lilian Anamwambia kuna mchina kaleta kila kitu kasoro nyonga
Video hii hapa Chini:
Mc sophia aka chumvi chumvi kutoka Temeke - YouTube!
anafanya kazi ya kusafisha picha katika studio!!Hivi Mbuzi Mzee, how much time do you spend online? and what do you mostly do? Curiosity has taken the best out of me.
Huyo MC? Nipe contact zake nami anifunde lol