VIDEO: Jionee jinsi wanaanga wanavyoishi katika kituo cha anga cha kimataifa

International Space Station ipo umbali kama wa km.400 kutoka dunian. Inamilikiwa na USA(NASA), Russia(OPSEK), na European(ESA).Pia Canada na Japan zinahusika kusaidia matengenezo kama vile wamiliki halali,hizo juu tatu,ndizo nchi zilizo na stations kila mtu na ya kwake wameziunganisha kwa pamoja.Washirika ambao wamewai kupeleka mtu na chombo huko ni Japan(hawana eno), China juzi juzi(hawana eneo).Canada(hawana eneo).Australia(hawana).Hawana eneo maana yake hawajapeleka stations za kufanya waishi ila wanadandia za wenzao.Kila taifa lenye station linaikalabati station yake Yeye mwenyewe,ingawa wanasaidiana.Safari zilizofanywa kwenda huko ni USA 839. Russia 257 ukijumlisha na ilipoitwa Soviet.Japan 10. China 10.Israel 1. Canada 1.Britain 2.nk. Watu waliofika huko ni 543 kwa ujumla. Kwa sasa kuna watu 6 akiwemo Muingereza Timothy Peake alieenda mwezi uliopita. Marekani Timothy Kopra na Mrusi Malenchenko ambao wapo huko kati ya hao sita, ndio maastranaut waliokaa muda mref kufanya utafit, mpaka mwezi huu wana miezi 11, na wanarudi duniani mwezi wa tatu!.

Nimesikia Kenya nao wanataka wapeleke ya kwao. Sasa sijui nani atapelekwa kukaa kule, Mkamba na other makabila sidhani., hapo kama sio Mkikuyu basi Mjaluo ndo atapelekwa kule.
 
Mkuu kwahiyo bado hatuja-amua? Na ni kwanini hatuamui?
Sasa ndugu yangu nchi yenyewe uchumi ndo Kama hivi unavyoona. Mfumo wa elimu yenyewe haumotivate watu wawe wabunifu na ishu ya kisayansi hata wale waliosoma sayansi tunaangalia wangapi wamefaulu. Miundombinu ya kujifunzia sio rafiki niliangalia video mwanafunzi wa high school marekani anapewa project ya kuunda jet engine hapa bongo mwanafunzi anaingia lab akiwa form four tena kwa ajili ya kujiandaa na mtihani. Kiufupi tuna safari ndefu sijui hata kile kituo cha sayansi bamaga kina projects zipi.
 
Sawa! Gravitational ninayozungumzia hapa ni ya ascending and descending (kwenda juu na kurudi chini) ukipush kitu kwenye space kina endelea na motion yake hivyohivyo akichepuki wala akipindi,akishuki wala akipai, kina baki pale pale kwenye orbiting yake!. Jua na dunia kweli zinavutana lakini mvutano wao ni dhaifu na stable,kuliko wewe ukirusha jiwe juu linarudi chini ghara!. Kama kuna mtu anisaidie kuelezea zaidi hapo.
Aisee interesting video
sasa mbona mwezi na dunia vinavutana na gravity halafu wewe unasema huko gravity ni 0
sasa mbona mwezi na dunia vinavutana na gravity halafu wewe unasema huko gravity ni 0
 
Mkuu mimi naomba kuuliza vipi gravity ya duniani inawzaje kuingia ktk gravity ya international air space mpaka ikaweza kuivuta body ambayo ipo kwenye gravity 0. Coz kuna utenganisho gravity ya dunian inajitegemea 10N/kg na gravity ya Air space 0N/kg so kwenye air space body haiwezi kurudi chini due to 0N/kg je 10/kg inawezaje?
 
Mkuu mimi naomba kuuliza vipi gravity ya duniani inawzaje kuingia ktk gravity ya international air space mpaka ikaweza kuivuta body ambayo ipo kwenye gravity 0. Coz kuna utenganisho gravity ya dunian inajitegemea 10N/kg na gravity ya Air space 0N/kg so kwenye air space body haiwezi kurudi chini due to 0N/kg je 10/kg inawezaje?

Kwanza hakuna Gravity zero mkuu huko kwenye space gravity ina vary ila kuna sehemu wanaita Null point inaelezwa kuwa body ina feel weightless kabisa yani Ascending na descending gravity zina meet, Hio Iss inavutwa kidogo sana na dunia lakini kumbuka pia ipo ktk speed hivo hip speed ya 5 miles per second inasaidia ISS kutokundokea ktk Dunia japo inavutwa ila pia International space ina mitungi ya Gas kwa ajili ya kuipa Thrust ikitokea imehama orbit, ukitoka nje ya dunia gravity haitakuwa 9N/kg itabadilika kutokana na mahali ulipo kama mars gravity ni less zaidi ya earth
 
Kwanza hakuna Gravity zero mkuu huko kwenye space gravity ina vary ila kuna sehemu wanaita Null point inaelezwa kuwa body ina feel weightless kabisa yani Ascending na descending gravity zina meet, Hio Iss inavutwa kidogo sana na dunia lakini kumbuka pia ipo ktk speed hivo hip speed ya 5 miles per second inasaidia ISS kutokundokea ktk Dunia japo inavutwa ila pia International space ina mitungi ya Gas kwa ajili ya kuipa Thrust ikitokea imehama orbit, ukitoka nje ya dunia gravity haitakuwa 9N/kg itabadilika kutokana na mahali ulipo kama mars gravity ni less zaidi ya earth
haya mambo nayapenda sana sema nimesoma kayumba
 
Very interesting
Hio Station ndo most expensive man made Equipment ina sensors za kutoshaa na material magumu kabisa Yaliyo cover rocket zina ruka na baadhi ya sehemu ndogo ndogo wakifika wanaiunga na station(docking) Hakuna hewa ya bure umo Ndani
 
Hio Station ndo most expensive man made Equipment ina sensors za kutoshaa na material magumu kabisa Yaliyo cover rocket zina ruka na baadhi ya sehemu ndogo ndogo wakifika wanaiunga na station(docking) Hakuna hewa ya bure umo Ndani
Sure this is amazing
Leo kitu cha Kwanza ni kuingia YouTube kufatilia hii station
 
Na Juzi kati kama sikosei jumatatu Ilipita africa mashariki Nairobi na Dsm ikaelekea Kusin mwa africa kwa waliokua Dsm ilipita jioni saa 1 na dk 23-25
 
Na Juzi kati kama sikosei jumatatu Ilipita africa mashariki Nairobi na Dsm ikaelekea Kusin mwa africa kwa waliokua Dsm ilipita jioni saa 1 na dk 23-25
Ebhana eeeh mbona ujaja kutushtua mzeiya.
 
Cycles the earth 16 times a day.
350 kilometres above our head.
SALYUT
SKYLAB
APOLLO-SOYUZ
MIR.
THE LARGEST MAN MADE OBJECT IN THE SKY. ..A HOME OF 10 ASTRONAUTS.
 
Kwa umbali ilipo above our head bado uliiona.!!
Je ulijuaje kama sio nyota?
(Just curious about)
Mkuu sio mimi nilio iona but kuna mdau ndo kaiona pengine umekosea kuni Quote,lakini Iss haiko mbali ivo 400km above ni low orbit satellite na kwa vile ina taa nyingi na ina speed ya 5 miles per second ni rahsi kuonekana kwa Visible eyes
 
Back
Top Bottom