PROF NDUMILAKUWILI
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 10,522
- 13,110
-Nyerere-
Yani wanampa Elfu 5 wakati kavaa boxer??angevua tuone vijimatako vyake
Huwezi kusema yupo uchi wakati ana boxerUlitaka kuona matako au una jingine?
Vyote si mmesema katembea uchiiUlitaka kuona matako au una jingine?
Kweli, wala hujakosea.Kwa mwanaume hapo hayuko uchi. Uchi maana yake mtupu, sasa huyo si amejisitiri kwa kiasi kikubwa tu hapo. Halafu jamaa kama wamezimua kitu hivi? Sio akili zao wote anaetembea na wanaomshangilia.
-Nyerere-
japo kg 2 za dona na robo kg ya dagaa, vibaba viwili mafuta watoto watashangilia kwa uhakika wa kuaminishwa kuiona kesho. japo eneo alikomalizia si rafiki kutimiza bajeti hii maana nawaza kipaumbele cha kwanza ni kiroba. 'Wanaume tumeumbwa mateso...........'Hizi ni bangi