BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
Huo ni ushahidi tosha kwamba tume huru inahitajika kuchunguza hilo tukio. Serikali (Ikulu) haiwezi kujisafisha kwa hilo.
Kikwete ameua Vijana wetu bila huruma akiwaacha wajane na wazazi wenye majonzi for rest of their life. no one live forever.JK atakufa vibaya kama ni yeye kawatuma kumfanyia Uli hivi,mungu aliye hai atamuadhibu tu
Daaaah ni hatar,Jaman kung'olewa meno na kucha ndo kinachoniuma kias kwamba nataman niandamane
serikalini wapo wataalamu wa digital forensics lete mkanda original tujue kama haujawa doctored kukidhi matakwa yenu, hata mtoto wangu anaweza ku-edit mkanda akaweka sauti ya nyani dume, mnao mkanda orginal uwasilisheni kwa kamanda kova unafanyiwa forensics analysis kujua kama hayo yaliomo humo ya ulimboka, mara ngapi hapa zinatolewa sauti ya usama na inathibitishwa sio sauti yake, acha kushabikia usilolijua au utaalamu nalo huo mkanda tu kama mkanda mwengine na kwa taarifa yako haukubaliki mahakamani kama sehemu ya vielelezo ikibidi.