wwww
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 350
- 252
Hakuna cha kura ya maoni wala nini. Hatuwezi kurusu wapuuzi wavunje muungano ili watuletee ugaidi.
Najisikia kichefuchefu kuwasikiliza hawa jamaa, kuna jamaa mmoja ambaye mpaka sasa anajua aliyefanya mapinduzi zanzibar ni Karume. Sijui hamfahamu jamaa anayeitwa OKELO? Karume anayemsema hakuwepo kati ya watu waliofanya mapinduzi, alionewa huruma tu na haka ka bwana mdogo kutoka Uganda Fiedel Marshal OKELO.